Recent content by Mtpd

  1. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Chukua iyo ronja....kaa nay tu
  2. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    magereza wamejiongeza
  3. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    kama kiongozi kaguna jua kazi kwisha
  4. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    wanataka uzungu wakati server zao za buku jero
  5. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    awa..magereza nao mifumo yao mpaka tuvutane kamba...
  6. Mtpd

    Kuna watu wananunua hela za omba omba mtaani elfu 10 kwa elfu 20

    Hiii ishu ya omba omba imekaa kimaslahi sana Kuna kipindi nilikua ni mtu mwema San wa kutoa pesa kwa hawa watu...kipindi icho Sina elimu juuh yao.na uwezo wa kufikili... Ila Kuna siku nilikua mahali akatoea omba omba nikamsaidia pesa....rafik zàñg wàkàsema kuwa awa wanafanya biashar...ko izo...
  7. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kihangaiko....kushaanza kuchangamka uko nasikia
  8. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Broooh...miongon mwetu kuna watu wanaweza pindua meza
  9. Mtpd

    GE2025 Wafatao ni Wabunge ambao kesho kutwa wanaaga rasmi ubunge

    Watu wanajitengenezea mazingira ya kula vizur wao na watoto wao...
  10. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mpaka...dakika hii. Watafutaji tunaongozwa goli mbili...je tunaweza pindua meza? Wamsatani hawapatikani tena....😅
  11. Mtpd

    GE2025 Wafatao ni Wabunge ambao kesho kutwa wanaaga rasmi ubunge

    Wakubwa samahani.kidog natoka nje ya mada kidog Iv zile ajira za usimamizi wa uchaguzi...majibu yake yanalud vp?
  12. Mtpd

    Naomba kuuliza hivi mtu akistaafu anaruhusiwa kurudishwa kazini, Au kupewa kitengo kingine?

    Naomba kuuliza iv mtu akistaafu anaruhusiwa kurudishwa kazi... Aku kupewa kitengo kingine?
  13. Mtpd

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Bogi la oljoro... Kwa nilizopata lipo iv... Wale ambao wap 834kj na walipo msata.. Wanachanganywa baada ya majibu ya usaili kulud then wanagawanya bogi... Mbili moj litabaki rts_kihangaiko n nyingin litaelekea orlojoro
Back
Top Bottom