Recent content by MTOTO WA BABU

  1. M

    Msaada wakisheria tumetapeliwa nyumba

    Kuna tajiri 1 tulimuuzia nyumba yetu ya urithi tulikua 6 na tulikua na nyumba 2 na shamba. Na hati zetu tuli zihifadhi mahakamani tulivyouza ile nyumba moja kati ya mbili tulimwambia yule tajiri kua hati zetu zipo mahakamani lakini Fail tumelisahau akasema msijali nina watu wangu nitawatuma wata...
  2. M

    Msaada wakisheria tumetapeliwa nyumba

    Stutus iko hv hatiishafanyiwa transfer miaka 2 nyuma inasoma jinalake nahiyo copy ya hati tunayo ambayo imefaniwa transfar na kopi ya asili pia ipo
  3. M

    Msaada wakisheria tumetapeliwa nyumba

    Sawa kk naomba nikutafute pembeni nikupe full ditails
  4. M

    Msaada wakisheria tumetapeliwa nyumba

    Kuna tajiri 1 tuli muuzia nyumba yetu yaurthi tulukua 6 natulikua na nyumba 2 na shamba . Na hati zetu tuli zihifadhi mahaka mahakamani tulivyo uza ile nyumba moja kati ya mbili tulimwmbia yule tahiri kua hatizetu zipo mahakamani lakini Fail tumelisahau akasema msijali nnawtu wangu ntawatuma...
  5. M

    Msaada wakisheria tumetapeliwa nyumba

    Habari wakuu mwenzenu nahitaji msaada tumetapeliwa hati ya nyumba na tajiri mmoja mjini hapa naomba msaada wakisheria kama tunaweza kufanikiwa au laa, kama mtaniruhusu plz naomba niendelelee. === Kuna tajiri 1 tulimuuzia nyumba yetu ya urithi tulikua 6 na tulikua na nyumba 2 na shamba. Na hati...
Back
Top Bottom