Sioni kama kutumia ChatGPT ni uraibu. ila matumizi yako ndio yanamtofautisha mtu na mtu.
Kwa maelezo yako unaitumia GPT kama search engine, which is cool.
ila pia kama unaitumia kupangilia vizuri mawazo yako ambayo yako scattered ni jambo zuri...
GPT ni tool kama zilivyo nyingine tu...
Mkuu, kila sehemu wapo wataalam wa ku-manipulate mifumo siku zote wapo.
Hata Black Sniper anavorejea kauli yangu ameelewa nilichokizungumza.
Kila mifumo yenye vigezo na masharti, kuna wataalamu wanaopita neno kwa neno kutafuta udhaifu wapite na fursa.
Bank ni kweli siku zote huwa inatoa...
Ee mkuu.
Kuna watu walikuw wanatarget nyumba za watu. Hata kama mtu angelipa mkopo, Afisa anachzesha "SI" makato yanagoma kupita kwa siku 90, kwa sheria inabidinmteja akiingia "arrear" siku 90, anapelekwa kwa dalali
Mikopo hiyo ipo, ila huwa ni Mahsusi kwa waajiliwa wa serikali na Taasisi zenye dhamana kubwa
Unapata mkopo kwa hatua za kumalizia ujenzi wa nyumba yako.
Malipo yanaweza kufika hadi miaka 20.
Inafaa kwa wateja walioko kwenye ajira rasmi au wenye biashara zao.
Zinahitaji dhamana (mara nyingi...
Hii huwa inatokea sana.
Ila ni matokeo ya uzembe au njama ya Loan Officers.
Pia huwa inatokana na rushwa... Kwa mfano mtu anamfuata Loan Officer, anamuambia anataka mkopo Million 150, kisha Afisa atakula 10M akiupitisha.
Pia makadirio ya thamani ya Collateral yanatokana na Location. Kwa mfano...
Mifumo ya mikopo ya bank,
Mara nyingi ni kwamba, uwe na chanzo cha pesa cha kupata marejesho. Chanzo hicho kiwe nkinajitosheleza kupata thamani ya rejesho kulingana na muda mlioahidiana. Kwa mfano, biashara, turn-over itoshe ku retain mtaji, faida na rejesho.
Na pia kuwe na Collateral kama...
Mkuu kuna benkinzina utaratibu wa kuja Kwenye shule za advance kuwafungulia watoto waliofika umri wa miaka 18. Akaunt hizo huwa wanafunguliwa bure na wanapewa kadi za ATM zenye hadhi ya VISA au MASTERCARD ili waweze kutoa pesa kwenye ATM Machine za bank yoyote.
Nikichukulia mfano wa NMB huwa...
Mkuu
Stori ilianzia
https://www.jamiiforums.com/threads/njooni-tukumbuke-nyakati-ngumu-tulizowahi-pitia.1807834/post-37242042
Kisha ikaendelea kwenye uzi wangu
https://www.jamiiforums.com/threads/nilikuwa-mmoja-wa-wale-watoto-machokoraa-mwanza-mwaka-2010-2011.1809817/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.