Professional boards na vyama vingine vya kitaaluma sawa viwe vingi.
Ila hivi vya wafanyakazi ni vingi sana, utitiri wake ni pango la wanyanganyi na ni kuvunja umoja wa workers. Maana unakuta hiki TUGHE wamekikubali wakati huo huo TAALGWU na CWT wamekataa.
Kama mifuko ya pension...
Wakinishinda kwa the so called sheria na taratibu halali za kiserikali, namalizana nao kishirikina au kihuni.
Sijawahi kuonewa wala kushindwa kesi au pambano lolote. Ningependa kukeep record hiyo hata umauti utakaponikuta.
Ongelea ya salary. Hayo ya kuliwa tigo labda kama unatangaza biashara yako.
Ndio umeamua uwe mradi wa kukuongezea kipato?. Samahani mimi situmii tafuta mwingine ndugu.
Kama utumishi wa umma haukulipi unavyotaka, acha. Hujalazimishwa.
Kazi zipo nyingi. Kina ufugaji wa nyoka, mende, kuokota...
Usipanic. Jitume uongezewe salary. Hakuna vya bure.
Matusi hayawezi kukutoa huko kima cha chini kukuleta huku juu sana niliko mimi na wachapakazi wenzangu. Utasubiri sana.
Haya mavyama ya wafanyakazi niliyakataa zamani.
Siku nikikuta iwe kwa bahati mbaya kuna makato yamefanywa kwangu kwenda kwa hao KUPE wanaojihita watetezi wa wafanyakazi , nitafungua Kesi sio ya kitoto.
Ni majizi balaa. Sijui why CAG hakagui mahesabu ya vyama vya wafanyakazi?.
Kama vyama vya...
Wale waliokuwa wanajifanya wana hasira kipindi cha JK , full kugoma daily, ila kwa Ngosha kawaambia thubutuuuuuuu. Wamenyweaaaaaaaa.
Ndio ninaowazingumzia.
Sasa kama hutoi maziwa ya kumlipa wa kukukatia majani itoke wapi?.
Mtu usiozaa matunda unafanywaje?.
Utumishi wa umma tumezoea kuvuna tusichopanda. Wacha tuwekwe sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.