Eti wanadai hawana vifaa vya kupima spare za magari lakini
hivi karibuni wamenunua magari ya Kifisadi ili wapate ten %
tazama hii picha ya gari .gari la mkugenzi nizuri lakini
amelikataa amenunua la 300,000,000/=
Hiyo cha mtoto,
hawa jamaa wameweka mawakala wawafanyie kazi ya kuwakagulia bidhaa nje ya nchi kifisadi pia
unapoleta bidhaa kama spare za magari bila ukaguzi wanakupiga faini kubwa ajabu,huku mlolongo wa kuilipa hiyo
faini mpaka utoe rushwa kwa mkurugenzi ndipo uingize ,sasa mimi najiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.