Recent content by mti mnene

  1. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Inawezekana, chakwanza unapoandika barua ya kuomba kazi kama ni mwajiriwa wa serikali, lazima barua yako ipitie kwa Mwajiri wako
  2. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hakunaga position inayoitwa makam katibu, rekebisha kauli. Inaonekana unaongea kitu cha kusimuliwa
  3. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    ukiwa unaandika application letter waambie hauko tayar kufanya kazi halmashauri.
  4. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tatizo kwenye huu uzi kuna watoto waliomaliza chuo 2022 hadi 2023 wana expectations kubwa sana, ndo wanaoharibu
  5. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    hiyo sio njia sahihi kabisa, ndomana had dakika hii hadi higher learning institutions zinazo offer online education lazima mwanafunzi aende phyisically kufanya mtihan. Hata ACCA wenyewe ambao ni moja ya reputable Accounting proffession board in the world, mitihan yao lazima ufanye physically na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Congratulation mkuu, hizo ndo shuhuda tunazotaka, Kila siku tunawaambiaga watu wawe na Iman na psrs tunaishia kuonekana mawakala wao.
  7. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Nadhan kwanzia Leo utakua na Iman na PSRS
  8. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Huyo mdau wako sio wewe kweli, any way aendelee kuwa mvumilivu. ataitwa tu
  9. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wengi sana walipata fair, hata paper zao ukichemka unaona kabisa umechemka,
  10. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Possibly Kuna watu hata interview wanaweza wakawa hawakufanya na wameitwa kazini. Utumishi wanamapungufu Yao ila wapo fair.
  11. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    taratibu tutaanza kuelewana, waliokua wanakomaa taasisi ziruhusiwe kuajiri zenyewe watakua wameanza kuelewa.
  12. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Acha kupotosha, ajira zote za wizara ya Afya ambazo huwa za Miradi( fedha hulipwa na wafadhili) huwa waajiri wizara wenyewe miaka na miaka.
  13. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wanaopelekwa na TAESA mara nyingi intern zao zinakua na ukomo, nimeongea kitu nilichofanyia utafiti
  14. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Na hauwez kujitolea kwenye taasisi kama NSSF, EWURA, TRA kama hauna Connection. Madhara ya taasisi kuajiri zenyewe ndo yanaonekana.
Back
Top Bottom