we sii msomi...hiyo ofisi yenye mburura kama wewe inabidi iangalie mara mbili..kwa kweli ndo maana tanzania haiendelei.huwezi kuwa msomi unatoa support za kishabiki kati ya mtu na taasisi yenye mamilioni ya watu...one against millions...you are very stupid
huyu zitto anacheza filamu ambayo mwisho wake anaujua ni mmbaya kwake...ni kiburi tuuu
anaogopa kutoka chadema kwa kuwa malengo ya watawala hayatatimia akiwa nje ya game.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.