Na GULATONE MASIGA
Katika kipindi cha hivi karibuni, mjadala kuhusu ongezeko la bei za mafuta umekuwa mkubwa mtaani na katika majukwaa ya kitaifa na kimataifa. Hoja hii si mpya katika historia ya uchumi wa dunia, bali ni mwendelezo wa mizunguko ya misukosuko ya nishati inayochochewa na matukio...
Tanzania inaandika historia mpya ya usalama wa nishati. Chini ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Uchukuzi inatekeleza mradi wa kimkakati wa ujenzi wa matenki 15 ya kuhifadhi na kusambaza mafuta katika Bandari ya Dar es...
Katika kipindi hiki tumeshuhudia mijadala ya kisiasa ikizidi kuwa mikali na yenye hisia kali. Hali hii inatukumbusha umuhimu wa kurejea kwenye misingi imara ya taifa letu: amani, umoja na mshikamano. Kwa maslahi ya Taifa, ni vyema wanasiasa, wanaharakati wa haki za binadamu na wadau wote wa...
~ Yameipa heshima Tanzania Kimataifa kama kinara wa mageuzi ya Afya Afrika
Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, sekta ya afya nchini Tanzania imepitia mageuzi makubwa ya kihistoria. Chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Serikali imewekeza...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama cha siasa kikongwe, kilichojijenga kitaasisi, chenye muundo mpana na ulioenea kote nchini. CCM ndicho chama chenye wanachama wengi zaidi kuliko chama chochote hapa nchini, na ndicho kinachobeba historia na mustakabali wa Taifa letu.
Mathalani, katika Mkoa wa...
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Jimbo la Vunjo wameeleza mshangao wao mkubwa kufuatia kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo Mhe. Dkt. Charles Kimei — ambaye amebaki kwenye kumbukumbu za wengi kama mbunge aliyetekeleza miradi mikubwa ya maendeleo kuliko watangulizi wake wote —...
Katika chaguzi nyingi za kura za maoni ndani ya CCM, asilimia 60 hadi 80 ya walioshinda wamekuwa ni wale walioanza kampeni miaka 2 hadi 3 kabla ya mchakato kuruhusiwa rasmi na chama. Wamewekeza siyo tu muda, bali pia wamenunua ushawishi ndani ya mfumo wa chama kuanzia ngazi ya mashina hadi mkoa...
Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni msingi muhimu wa demokrasia ya ndani ya chama. Mwaka huu, tumeshuhudia mwitikio mkubwa wa wajumbe kushiriki, jambo linaloonesha nguvu ya chama na uaminifu wa wanachama wake katika mchakato wa kidemokrasia.
Hata hivyo, yapo maeneo...
Dkt Charles Stephen Kimei, Mbunge wa Jimbo la Vunjo, amesema kuwa kukamilika kwa barabara ya Nyerere (Pofo – Mandaka – Kilema) pamoja na barabara ya Kilema – Maua – Kirua ni miongoni mwa vipaumbele atakavyovitekeleza katika kipindi kijacho ikiwa atapata ridhaa ya kuendelea kulitumikia Jimbo...
Katika mwendelezo wa harakati zake za kuwaletea maendeleo wananchi wa Vunjo, Mheshimiwa Dkt. Charles Stephen Kimei akiwa katika kata za Marangu Magharibi, Marangu Mashariki na Mamba Kusini ikiwa ni siku ya kwanza ya ratiba ya wagombea ubunge ndani ya CCM katika Jimbo hilo ametambulisha ajenda...
Na Mwandishi Wetu,
Katika utawala wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, dhamira ya kuwapatia Watanzania huduma ya umeme wa uhakika imepata tafsiri ya vitendo kupitia uongozi makini wa Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Mashaka Biteko.
Kupitia usimamizi wake...
Wananchi wa Kata ya Kahe Mashariki, wakiongozwa na wazee wa kata hiyo, wamempongeza Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei kwa kazi nzuri aliyoifanya katika kipindi cha mwaka 2020 - 2025, kwa kumzawadia ndafu (mbuzi dume) kama ishara ya heshima na shukrani.
Wakizungumza...
Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei, ameendelea kuonesha moyo wa uwajibikaji na kujali ustawi wa wananchi wake kwa kuwawezesha wajasiriamali wanawake 300 wa Kata ya Njiapanda, Mji Mdogo wa Himo, kwa kuwapatia miavuli maalum itakayowalinda dhidi ya mvua na jua.
Hatua hiyo...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Omar Mchengerwa, akiwa ziarani mkoa wa Kilimanjaro ametangaza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa shilingi bilioni 7 kwa ajili ya ujenzi wa...
Awali ya yote naungana na wote waliopaza sauti za kulaani tukio hili la kikatili, kinyama na linalotishia uhuru na usalama wa raia wema wakiwemo watetezi wa haki za kibinadamu, utawala bora, uhuru wa maoni, umoja na amani ya Nchi yetu pamoja na kuipaka serikali matope.
1. Eneo la Makazi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.