Recent content by MTANZANIA620

  1. M

    Sauti ya Wanavunjo bajeti ya TAMISEMI bungeni

    Mbunge wa Jimbo la Vunjo Dkt. Charles Stephen Kimei amekuwa miongoni mwa wabunge waliochangia katika mjadala wa bajeti ya wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ambapo ameeleza mambo kadhaa ikiwemo:- Dkt. Kimei ameishukuru serikali na kumpongeza kwa wingi wa miradi katika jimbo la vunjo na...
  2. M

    Amosi Makalla apewe nafasi na ushirikiano

    Amosi Makalla Tangu kuteuliwa kwa Amos Makala kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi, Uenezi na Mafunzo akichukua nafasi ya Paul Makonda baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii na hata miongoni mwa wana CCM maeneo mbalimbali wameonekana kutokubaliana na uteuzi wake na kuona...
  3. M

    Haijapata kutokea ila imetokea sasa ndio maana tunawasifu na kuwaunga mkono viongozi wetu

    Tangu mwaka 1995 Jimbo la Vunjo limepata kuongozwa na wabunge wafuatao:- 1. 1995 - 2000 Mhe. James Francis Mbatia (NCCR MAGEUZI) 2. 2000 - 2005 Mhe. Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) 3. 2005 - 2010 Mhe. Aloyce Bent Kimaro (CCM) 4. 2010 - 2015 Mhe. Augustine Lyatonga Mrema (TLP) 5. 2015 -...
  4. M

    Mbunge Kimei atembelea miradi ya maendeleo, amshukuru Rais Samia

    Na Mwandishi Wetu Vunjo - Moshi MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ametembelea Kata ya Kirua Vunjo Kusini na Kirua Vunjo Mashariki zilizopo tarafa ya Vunjo Magharibi kwa madhumuni ya kukagua mradi wa kuboresha huduma ya maji katika kijiji cha Yamu Makaa unaogharimu shilingi...
  5. M

    CCM inahitaji Mwenezi Mtulivu

    Katika kipindi hiki cha miaka mitatu Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameteua na kupendekeza makatibu wa Itikadi na Uenezi ambao walithibitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wapatao watatu kwa nyakati tofauti 2021-2023 Ndg Shaka Hamdu Shaka 2023 - Sophia Edward Mjema 2024 -...
  6. M

    Kwani akishinda 2025 ndio uthibitisho kuwa anakubalika? Mmesahau Jakaya alivyopigika 2010 akabaki kusingizia udini

    Mfa maji haachi kutapatapa. Urais wa Tanzania ni wa CCM kama tunahitaji Amani, Umoja na Maendeleo Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
  7. M

    Mbowe: CHADEMA hatutashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025

    Ana rekodi nzuri ya kutamka hayo 2005, 2010, 2015 na 2020 na kote walishiriki. Tunajua hizo ni danganya toto! Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
  8. M

    Pallangyo wa CHADEMA ndio awe Mgombea jijini Arusha 2025

    Lema hana ubavu wa kumshinda Mrisho Mashaka Gambo kivyovyote vile. Tuache kiongozi wa maendeleo tutafute kipngozi wa maandamano, haiwezekani! Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
  9. M

    Jerry Silaa anahitaji pongezi

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa anastahili pongezi kwa kutafsiri kwa vitendo maelekezo ya Ibara ya 74 ilani ya uchaguzi ya CCM ya maaka 2020 - 2025 inayosimamiwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan iliyotaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya upangaji...
  10. M

    Lissu: Watoto wangu wana uraia wa Marekani, mbona Makonda kama ana Wivu

    Aliyekuwa mgombea urais kupitia chadema Ndg Tundu Antipas Lissu ameeleza katika mahojiano yake aliyofanya na MwanaHalisi Online ambayo yako pia YouTube kwamba watoto wake wote ni raia wa Marekani. Lissu anataka urais lakini familia ipo nchi za watu
  11. M

    Nakisi ya umeme nchini kwa sasa ni kati ya Megawati 300 - 400 hivyo ni dhahiri tatizo la mgao wa umeme linakwenda kumalizika

    Mgao mkali wa umeme uliopo unatokana na upungufu uliopo katika uzalishaji dhidi ya mahitaji. Kuwashwa kwa Mtambo namba 9 katika Mradi wa Bwawa la uzalishaji umeme la Julius Nyerere ambao unazalisha megawati 235 kuingia katika gridi ya Taifa kunakwenda kuleta nafuu kubwa kwa takribani asilimia...
  12. M

    Dkt. Kimei, ashauri mikopo ya mabenki ilenge sekta za uzalishaji na biashara

    Mbunge wa jimbo la vunjo mhe dkt charles stephen kimei atikisa bunge leo kwa mchango wake uliojaa ushauri murua ya namna ya kuongeza pato la taifa, kuzalisha ajira na kuboresha maisha ya kila mtanzania Ashauri mikopo ya mabenki ilenge sekta za uzalishaji na biashara Ashauri benki zenye mitaji...
  13. M

    Lowassa kwa sasa anahitaji sala na dua zetu tu

    Kumeibuka kundi la wanaojinasibisha na kutamba kama Marafiki wa hayati Edward Ngoyai Lowassa wakati huu ambao ameaga dunia wakileta simulizi za kuashiria wakati wa uhai wake alionewa, alidhulumiwa, alitendwa, alisalitiwa na hakupewa nafasi ya kusikilizwa huku mtuhumiwa kwenye hilo ikitajwa CCM...
  14. M

    Rais Samia hapaswi kugombea 2025 akigombea tumkatae

    Umejipa kazi ngumu kama kuzuia kifo vile. Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
  15. M

    Kimei ni Kingunge pale Vunjo

    Wanajukwaa salaam, Kwa miaka 20 vyama vya upinzani vya NCCR MAGEUZI na TLP vimepata kuliongoza Jimbo la Vunjo katika nafasi ya ubunge. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata nafasi ya kuliongoza Jimbo hilo mwaka 2005-2010 na sasa 2020-2025 kupitia kwa Dkt Charles Kimei. Duru za kisiasa zinaeleza...
Back
Top Bottom