Mbunge wa Jimbo la Vunjo Dkt. Charles Stephen Kimei amekuwa miongoni mwa wabunge waliochangia katika mjadala wa bajeti ya wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ambapo ameeleza mambo kadhaa ikiwemo:-
Dkt. Kimei ameishukuru serikali na kumpongeza kwa wingi wa miradi katika jimbo la vunjo na...
Amosi Makalla
Tangu kuteuliwa kwa Amos Makala kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi, Uenezi na Mafunzo akichukua nafasi ya Paul Makonda baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii na hata miongoni mwa wana CCM maeneo mbalimbali wameonekana kutokubaliana na uteuzi wake na kuona...
Na Mwandishi Wetu
Vunjo - Moshi
MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ametembelea Kata ya Kirua Vunjo Kusini na Kirua Vunjo Mashariki zilizopo tarafa ya Vunjo Magharibi kwa madhumuni ya kukagua mradi wa kuboresha huduma ya maji katika kijiji cha Yamu Makaa unaogharimu shilingi...
Katika kipindi hiki cha miaka mitatu Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameteua na kupendekeza makatibu wa Itikadi na Uenezi ambao walithibitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wapatao watatu kwa nyakati tofauti
2021-2023 Ndg Shaka Hamdu Shaka
2023 - Sophia Edward Mjema
2024 -...
Mfa maji haachi kutapatapa. Urais wa Tanzania ni wa CCM kama tunahitaji Amani, Umoja na Maendeleo
Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
Ana rekodi nzuri ya kutamka hayo 2005, 2010, 2015 na 2020 na kote walishiriki. Tunajua hizo ni danganya toto!
Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
Lema hana ubavu wa kumshinda Mrisho Mashaka Gambo kivyovyote vile. Tuache kiongozi wa maendeleo tutafute kipngozi wa maandamano, haiwezekani!
Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa anastahili pongezi kwa kutafsiri kwa vitendo maelekezo ya Ibara ya 74 ilani ya uchaguzi ya CCM ya maaka 2020 - 2025 inayosimamiwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan iliyotaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya upangaji...
Aliyekuwa mgombea urais kupitia chadema Ndg Tundu Antipas Lissu ameeleza katika mahojiano yake aliyofanya na MwanaHalisi Online ambayo yako pia YouTube kwamba watoto wake wote ni raia wa Marekani.
Lissu anataka urais lakini familia ipo nchi za watu
Mgao mkali wa umeme uliopo unatokana na upungufu uliopo katika uzalishaji dhidi ya mahitaji. Kuwashwa kwa Mtambo namba 9 katika Mradi wa Bwawa la uzalishaji umeme la Julius Nyerere ambao unazalisha megawati 235 kuingia katika gridi ya Taifa kunakwenda kuleta nafuu kubwa kwa takribani asilimia...
Mbunge wa jimbo la vunjo mhe dkt charles stephen kimei atikisa bunge leo kwa mchango wake uliojaa ushauri murua ya namna ya kuongeza pato la taifa, kuzalisha ajira na kuboresha maisha ya kila mtanzania
Ashauri mikopo ya mabenki ilenge sekta za uzalishaji na biashara
Ashauri benki zenye mitaji...
Kumeibuka kundi la wanaojinasibisha na kutamba kama Marafiki wa hayati Edward Ngoyai Lowassa wakati huu ambao ameaga dunia wakileta simulizi za kuashiria wakati wa uhai wake alionewa, alidhulumiwa, alitendwa, alisalitiwa na hakupewa nafasi ya kusikilizwa huku mtuhumiwa kwenye hilo ikitajwa CCM...
Wanajukwaa salaam,
Kwa miaka 20 vyama vya upinzani vya NCCR MAGEUZI na TLP vimepata kuliongoza Jimbo la Vunjo katika nafasi ya ubunge.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata nafasi ya kuliongoza Jimbo hilo mwaka 2005-2010 na sasa 2020-2025 kupitia kwa Dkt Charles Kimei.
Duru za kisiasa zinaeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.