Recent content by MTANZANIA620

  1. M

    Bei ya mafuta duniani na mustakabali wa Nishati Tanzania. Njia za kujenga uchumi imara na endelevu

    Na GULATONE MASIGA Katika kipindi cha hivi karibuni, mjadala kuhusu ongezeko la bei za mafuta umekuwa mkubwa mtaani na katika majukwaa ya kitaifa na kimataifa. Hoja hii si mpya katika historia ya uchumi wa dunia, bali ni mwendelezo wa mizunguko ya misukosuko ya nishati inayochochewa na matukio...
  2. M

    Mradi wa ujenzi wa matenki maalum 15 ya kuhifadhia mafuta ni matokeo ya uongozi wa maono wa Rais Samia na kinga ya uchumi wa taifa

    Tanzania inaandika historia mpya ya usalama wa nishati. Chini ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Uchukuzi inatekeleza mradi wa kimkakati wa ujenzi wa matenki 15 ya kuhifadhi na kusambaza mafuta katika Bandari ya Dar es...
  3. M

    Siasa ni maendeleo si uhasama: Tulinde amani na mshikamano wa taifa kwa maendeleo endelevu

    Katika kipindi hiki tumeshuhudia mijadala ya kisiasa ikizidi kuwa mikali na yenye hisia kali. Hali hii inatukumbusha umuhimu wa kurejea kwenye misingi imara ya taifa letu: amani, umoja na mshikamano. Kwa maslahi ya Taifa, ni vyema wanasiasa, wanaharakati wa haki za binadamu na wadau wote wa...
  4. M

    Mageuzi sekta ya afya chini ya Rais Samia si ahadi za kisiasa tu ni mabadiliko yanayopimika kwa takwimu na yanayoonekana kwa macho

    ~ Yameipa heshima Tanzania Kimataifa kama kinara wa mageuzi ya Afya Afrika Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, sekta ya afya nchini Tanzania imepitia mageuzi makubwa ya kihistoria. Chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Serikali imewekeza...
  5. M

    GE2025 Uzinduzi wa Kampeni za CCM Viwanja vya Kawe, Agosti 28, 2025

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama cha siasa kikongwe, kilichojijenga kitaasisi, chenye muundo mpana na ulioenea kote nchini. CCM ndicho chama chenye wanachama wengi zaidi kuliko chama chochote hapa nchini, na ndicho kinachobeba historia na mustakabali wa Taifa letu. Mathalani, katika Mkoa wa...
  6. M

    GE2025 Wananchi Vunjo wawashangaa wajumbe CCM kumnyima kura Dkt. Kimei

    Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Jimbo la Vunjo wameeleza mshangao wao mkubwa kufuatia kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo Mhe. Dkt. Charles Kimei — ambaye amebaki kwenye kumbukumbu za wengi kama mbunge aliyetekeleza miradi mikubwa ya maendeleo kuliko watangulizi wake wote —...
  7. M

    Tunahamasisha maadili na uwazi ndani ya CCM

    Katika chaguzi nyingi za kura za maoni ndani ya CCM, asilimia 60 hadi 80 ya walioshinda wamekuwa ni wale walioanza kampeni miaka 2 hadi 3 kabla ya mchakato kuruhusiwa rasmi na chama. Wamewekeza siyo tu muda, bali pia wamenunua ushawishi ndani ya mfumo wa chama kuanzia ngazi ya mashina hadi mkoa...
  8. M

    Tujenge demokrasia inayozingatia uwazi, uwajibikaji na nidhamu ndani ya CCM

    Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni msingi muhimu wa demokrasia ya ndani ya chama. Mwaka huu, tumeshuhudia mwitikio mkubwa wa wajumbe kushiriki, jambo linaloonesha nguvu ya chama na uaminifu wa wanachama wake katika mchakato wa kidemokrasia. Hata hivyo, yapo maeneo...
  9. M

    GE2025 Dkt. Kimei: Nimeomba tena ubunge ili kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya barabara na kufungua fursa za utalii Kilema

    Dkt Charles Stephen Kimei, Mbunge wa Jimbo la Vunjo, amesema kuwa kukamilika kwa barabara ya Nyerere (Pofo – Mandaka – Kilema) pamoja na barabara ya Kilema – Maua – Kirua ni miongoni mwa vipaumbele atakavyovitekeleza katika kipindi kijacho ikiwa atapata ridhaa ya kuendelea kulitumikia Jimbo...
  10. M

    GE2025 Dkt. Charles Kimei atambulisha agenda kabambe za maendeleo Vunjo

    Katika mwendelezo wa harakati zake za kuwaletea maendeleo wananchi wa Vunjo, Mheshimiwa Dkt. Charles Stephen Kimei akiwa katika kata za Marangu Magharibi, Marangu Mashariki na Mamba Kusini ikiwa ni siku ya kwanza ya ratiba ya wagombea ubunge ndani ya CCM katika Jimbo hilo ametambulisha ajenda...
  11. M

    Doto Biteko mkalimani wa vitendo wa maono ya rais samia kuhusu umeme wa uhakika

    Na Mwandishi Wetu, Katika utawala wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, dhamira ya kuwapatia Watanzania huduma ya umeme wa uhakika imepata tafsiri ya vitendo kupitia uongozi makini wa Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Mashaka Biteko. Kupitia usimamizi wake...
  12. M

    PreGE2025 Wananchi Kahe Mashariki wamkabidhi ndafu mbunge Dkt. Kimei kwa utendaji bora

    Wananchi wa Kata ya Kahe Mashariki, wakiongozwa na wazee wa kata hiyo, wamempongeza Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei kwa kazi nzuri aliyoifanya katika kipindi cha mwaka 2020 - 2025, kwa kumzawadia ndafu (mbuzi dume) kama ishara ya heshima na shukrani. Wakizungumza...
  13. M

    PreGE2025 Wajasiriamali wanawake wamchangia 260,000 Charles Kimei ili akachukue fomu ya Ubunge CCM dirisha likishafunguliwa

    Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei, ameendelea kuonesha moyo wa uwajibikaji na kujali ustawi wa wananchi wake kwa kuwawezesha wajasiriamali wanawake 300 wa Kata ya Njiapanda, Mji Mdogo wa Himo, kwa kuwapatia miavuli maalum itakayowalinda dhidi ya mvua na jua. Hatua hiyo...
  14. M

    Serikali yatoa bilioni 7 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Chekereni - Kahe - Mabogini

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Omar Mchengerwa, akiwa ziarani mkoa wa Kilimanjaro ametangaza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa shilingi bilioni 7 kwa ajili ya ujenzi wa...
  15. M

    Shambulizi dhidi ya Padre Dkt Charles Kitima linaacha maswali mengi

    Awali ya yote naungana na wote waliopaza sauti za kulaani tukio hili la kikatili, kinyama na linalotishia uhuru na usalama wa raia wema wakiwemo watetezi wa haki za kibinadamu, utawala bora, uhuru wa maoni, umoja na amani ya Nchi yetu pamoja na kuipaka serikali matope. 1. Eneo la Makazi ya...
Back
Top Bottom