Hii taarifa mbona kama ya uzushi!!! mana huyo baunsa shughuli zake ni za kwenye clubs pale tarime na kwenye mabasi ya kampuni ya kisire..... yani usiku utamkuta pale chris pub akifanya ubaunsa na mchana kama kondakta kwenye mabasi ya kisire yanayotoka tarime kwenda mwanza .... hebu ngoja...
Wasalaam wakuu,
Naomba kuwasilisha kero yangu kwenu huku nikiwa nina imani kabisa itawafikia watu sahihi na kuifanyia kazi.
Natambua wazi juhudi zinazofanywa na mheshimiwa raisi katika kupambana na kutatua kero mbali mbali zinazotuhusu sisi wananchi lakini ni wazi kabisa watendaji wake...
Hakuna kitu kama hicho, hakuna aliewashawishi wabaki ... wameondolewa na mipango yao mibovu na wamepisha watu wengine wafanye kazi waliyoshindwa.. dua zako za kuku zitakurudia mwenyewe
Kwahyo unataka kusema kwamba tuache ACACIA waendelee kutuibia sababu hakuna mfanyabiashara mkweli duniani!!? Kwa akili ndogo tu hawa jamaa kama waliweza kutudanganya kwamba makinikia hayana faida kwao na leo ndo hayo wanasema tena yanawasababishia hasara basi hawa watu ni hakika wameshatuibia...
Swali ninalojiuliza kwa sasa ni kwann hawa acacia wanaendelea tu kutoa memo ambazo ndani yake wanasisitiza kuwa wao hulipa kodi ihali kuna mazungumzo yanaendelea ya kiserikali ..... kwann wasitulie wakasubiri taarifa ya mazungumzo!? kwann wamekuwa watu wa kutumia sana medias kujisafisha wkt...
Ishu ni kwamba katika moja ya taarifa zao walisema makinikia ni asilimia ndogo tu ya sehem wanayopata kama faida sasa leo how comes a part of bussines ambayo faida yake ni ndogo kuliko the main one ina cost ajira ya karibia robo tatu ya wafanyakazi wote!!! afu nasikia pia wanasimamisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.