Katika pitapita zangu katika Manispaa ya mji wa Mpanda nimekutana na hiki kibanda cha kusambaza mipira ya watu wazima (Condom) katika uwanja wa Shule ya msingi Kashato.
Kwa mtizamo wangu nadhani si sawa na mamlaka zinapaswa kujua kuwa hapo si mahali sahihi.
Pamoja na kwamba shule hiyo iko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.