Haaa haaa and what is for high intelligent people?
I agree, reasoning should come first before belief. And for those who exercise religion should do it in moderate while their mind be allert to figure out who is genuine. The case of Shakahola in Kilifi kaunti Kenya or issue of Kibwetere in...
Waluhya ni kweli sio wamoja. Na wanamkubali Sifuna sana.
Oburu nae hana nguvu kwa sababu ya uzee na hakubaliki na chama. Mjaluo ambaye anaweza kuwa Naibu wa Raisi sioni kma kuna waliomuandaa.
Kichwa lazima kimuume na Gachagwa ana mtwanga sana
Professor Kithure Kindiki hana ushawishi Mlima Kenya.
Una uhakika gani mkuu na data huna?
Je unataka kusema dini haina mchango wowote mzuri kwenye kutunza maadili miongoni mwa watu. Kwamba watu kumi wanao muamini ni sawa na watu kumi wasioamini Mungu kimaadili.?
Odinga is no more na kaka yake Oburu ni mzee sana.
Ila kama ulivyosema Naibu wa Raisi atamchukua kutoka Western Kenya kwa Waluhya kama Oparanya au mwingine kwa sababu wao ndio namba mbili kwa idadi baada ya Wakikuyu na kwa kwa Upande wa Wawajaluo kwa sababu ameshaungana na ODM ana uhakika wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.