Recent content by Mtambachuo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uhuru Kenyatta : Sijawahi kugusa bangi maishani mwangu

    Ni kweli vyama vy upinzani nilishasema vitaungana na kama ulivyosema Fred Matiangi atapeperusha bendera pamoja na Kalonzo
  2. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Huyo Mother nature ndio yupi, provide more clarification
  3. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Sawa mkuu Kiranga. Wanatumie dini kuwatawala ki vipi? Ina maanisha dini inadumaza akili za watu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Ni kweli Babu angepush wakiwa na Sifuna ila ndio hivyo Odinga family imeng'ang'nia chama kama chao pekee yao.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Haaa haaa and what is for high intelligent people? I agree, reasoning should come first before belief. And for those who exercise religion should do it in moderate while their mind be allert to figure out who is genuine. The case of Shakahola in Kilifi kaunti Kenya or issue of Kibwetere in...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Waluhya ni kweli sio wamoja. Na wanamkubali Sifuna sana. Oburu nae hana nguvu kwa sababu ya uzee na hakubaliki na chama. Mjaluo ambaye anaweza kuwa Naibu wa Raisi sioni kma kuna waliomuandaa. Kichwa lazima kimuume na Gachagwa ana mtwanga sana Professor Kithure Kindiki hana ushawishi Mlima Kenya.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Nguvu ipi isiyoonekana..Shetani au?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwa utaratibu huu, tufunge safari kumuona DG wa NSSF?

    Asubiri mfu Asubiri mfumo wa NMB ili alipwe au
  9. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Wengine hawajitambui kama ni Atheists.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Una muamini Mungu yupi na katika msingi ipi. Ili imani yako na roho iwe hai inalelewa na nani?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Una uhakika gani mkuu na data huna? Je unataka kusema dini haina mchango wowote mzuri kwenye kutunza maadili miongoni mwa watu. Kwamba watu kumi wanao muamini ni sawa na watu kumi wasioamini Mungu kimaadili.?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Amezungumza ukweli wa wazi unaonekana hapa kwetu na hata kwa nchi nyingine za Afrika. Tupaswa kujisahihisha kama alivyosema Nyerere.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Inasikitisha sana..au ndio kuwadhibiti binadamu wasioamini Mungu dhidi ya matendo yao maovu 😃
  14. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Anamaanisha sio kwamba hawatoshi bali wataalamu wanapuuzwa ila machawa ndio wanapewa nafasi kwenye mambo ya msingi.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Odinga is no more na kaka yake Oburu ni mzee sana. Ila kama ulivyosema Naibu wa Raisi atamchukua kutoka Western Kenya kwa Waluhya kama Oparanya au mwingine kwa sababu wao ndio namba mbili kwa idadi baada ya Wakikuyu na kwa kwa Upande wa Wawajaluo kwa sababu ameshaungana na ODM ana uhakika wa...
Back
Top Bottom