Recent content by Mtambachuo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

    PhD ni Udom ila degree nyingine ndio kasoma SAUT
  2. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Bachelor degree courses zinatolewa UDOM lakini hazipo kwenye soko la ajira

    Bachelor of Science General. Bachelor of Science in Actural Science n.k
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    Mkuu wewe ndio umeeleza kwa usahihi kabisa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Ni hatari sana bro..
  5. M

    JamiiForums Tanzania Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Vizuri
  6. M

    JamiiForums Tanzania Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Chuo ukasoma nini?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Form Four 2008 ilikuwa ngumu. Mitihani ilikuwa inabadishwa kwa sababu ya kutetesi ya kuvuja.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Hapa ndio umetoa mtiririko mzuri wa maelezo kama msomi. Ungekuwa hujaajiriwa huko serikalini kwenye ualimu ningekushauri ukasome Bachelor of Science in Food Procesing and Technologies hapo hapo Open ni nzuri kwa kazi za viwandani hata kwa kujiajiri mwenyewe pia.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Watoto gani wewe umeona kaandika kwa mtirriko mzuri inavyotakiwa.? Ila sishangai nyie waalimu mnajulikana ni mafailure na ni msikini sana.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Kwa hiyo ni muajiariwa tayari wewe
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Jifunze kuandika vizuri ueleweke toa detail na zingatia tense/ wakati
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Sio kweli acha propaganda dunia ya sasa elimu inatolewa kwa Odel hata hivyo vyuo vya bweni kuna program wanatoa kwa Open and distance learning.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Prospectus ya 2025- 2026 ya OUT ina bachelor of Science General.?
  14. M

    JamiiForums Tanzania HR na Maboss punguzeni ukabila wakati wa usaili

    Pole sana kaka, riziki yako ipo tuu, hata kama sio hapo. Endelea ku apply, mambo ya kujuana na upendeleo una haribu sana mambo.
  15. M

    JamiiForums Tanzania HR na Maboss punguzeni ukabila wakati wa usaili

    Elezea kwa kina ueleweke mkuu, mtu ataona labda unazusha au uongea kwa hisia
Back
Top Bottom