Mkuu unaelewa maana ya rate or speed. Kasi yao ya kuzeeka ni kubwa zaidi. Kuzeeka kupo ila kunapokuwa kwa kwa kasi kabla ya umri husika lazima tujiulize.
Hili alifichiki Gen Z rate yao ya kuzeeka ipo kasi sana tofauti na Millennials.
Wengi wana miili mikubwa, nywele zikuwa brown au nyeupe mapema na sura zao zinakomaa mapema sana. Hii ni tofauti na kipindi Millennials walipo kuwa na umri kama huo, na ndio maana wale Millennials wa mwisho mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.