Recent content by Mtambachuo

  1. M

    Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    Mkuu wewe ndio umeeleza kwa usahihi kabisa
  2. M

    Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Form Four 2008 ilikuwa ngumu. Mitihani ilikuwa inabadishwa kwa sababu ya kutetesi ya kuvuja.
  3. M

    Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Hapa ndio umetoa mtiririko mzuri wa maelezo kama msomi. Ungekuwa hujaajiriwa huko serikalini kwenye ualimu ningekushauri ukasome Bachelor of Science in Food Procesing and Technologies hapo hapo Open ni nzuri kwa kazi za viwandani hata kwa kujiajiri mwenyewe pia.
  4. M

    Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Watoto gani wewe umeona kaandika kwa mtirriko mzuri inavyotakiwa.? Ila sishangai nyie waalimu mnajulikana ni mafailure na ni msikini sana.
  5. M

    Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Jifunze kuandika vizuri ueleweke toa detail na zingatia tense/ wakati
  6. M

    Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Sio kweli acha propaganda dunia ya sasa elimu inatolewa kwa Odel hata hivyo vyuo vya bweni kuna program wanatoa kwa Open and distance learning.
  7. M

    Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

    Prospectus ya 2025- 2026 ya OUT ina bachelor of Science General.?
  8. M

    HR na Maboss punguzeni ukabila wakati wa usaili

    Pole sana kaka, riziki yako ipo tuu, hata kama sio hapo. Endelea ku apply, mambo ya kujuana na upendeleo una haribu sana mambo.
  9. M

    HR na Maboss punguzeni ukabila wakati wa usaili

    Elezea kwa kina ueleweke mkuu, mtu ataona labda unazusha au uongea kwa hisia
  10. M

    KERO Abiria tunatumia gharama kubwa kufika stesheni ya SGR Dodoma, mamlaka ziweke kituo cha daladala

    Mimi mwenyewe nimetumia gharama kubwa sana toka Morogoro SGR hadi Nanenane.
Back
Top Bottom