Recent content by Mtambachuo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Hatari sana tumsubirie Cocustic aje atuthibitishie.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Yes wengi miili yao ni imara sana.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Stress inazeesha sana, kipara kinakuja kwa kasi na mvi zinawahi pia. Pamoja na sababu hizo zingine. Nini kifanyike hapa?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Kabisa jaribu kumcheki binti aliyezaliwa 2000 na wa 1994 wengi ni tofauti. Hivyo hivyo kwa wanaume.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Ukosefu wa ajira unaleta maisha magumu matokeo yake wanaenda kujiliwaza kwenye visungura, betting, sigara, bangi na ngono zembe.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Hatari magonjwa ya figo na inni yataongezeka sana na hivi Serikali ya Rwanga walizimwaga kwa sababu hazina ubora basi hii ni hatari.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Hatari ndio maana wengi hawana nguvu za kiume, kumbukumbu zinapotea haraka na magonjwa ya figo yanakuja kwa kasi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Kabisa, fast food, alcohol na kwa ujumla wanapenda soft life.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Mkuu unaelewa maana ya rate or speed. Kasi yao ya kuzeeka ni kubwa zaidi. Kuzeeka kupo ila kunapokuwa kwa kwa kasi kabla ya umri husika lazima tujiulize.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Na hili ni tatizo kubwa sana mkuu na sababu zitakuwa ni mtambuka.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naona speed or rate ya kuzeeka kwa Gen Z ni kubwa tofauti na ya Millennials

    Hili alifichiki Gen Z rate yao ya kuzeeka ipo kasi sana tofauti na Millennials. Wengi wana miili mikubwa, nywele zikuwa brown au nyeupe mapema na sura zao zinakomaa mapema sana. Hii ni tofauti na kipindi Millennials walipo kuwa na umri kama huo, na ndio maana wale Millennials wa mwisho mwisho...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kufafanua Kuondoka Kwangu JF

    Young boy! Cummon. Kwani moja ya symptoms ya NPD ni ipi. .na symptoms za NPD unazo kwa asilimia 99%
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kufafanua Kuondoka Kwangu JF

    Mimi ni mbobezi hasa. Naijua kwa kina na nyingine nyingi
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kufafanua Kuondoka Kwangu JF

    Na mimi nilisham diagnose kuwa ana NPD ni muhimu atafute Psychotherapy.
Back
Top Bottom