Recent content by Mtambaaswala

  1. M

    Tatizo la kutokwa maji kwenye uume

    Samahani naomba kuuliza, Nimepatwa na hili tatizo yapata mwezi sasa. Maji yanatoka kwenye uume wangu hayana harufu na wala sio usaha. Nikikojoa hapaumi, ila kuna muda yanachuruzika na muda wote sehemu ya kutolea mkojo inakuwa mbichi.
Back
Top Bottom