Mi ningependa kulima nlisoma sehem kuna kulima kwa maranda mabaki ya mbao ila sjajua unayafanyaje? Msaada wa namna ya kulima uyoga kwa maranda nisaidie
asante naendelea kutafakari,nimeambiwa na mtu aliye lima mwaka jana alitumia laki nne hadi kuvuna,kwa heka 4,so mi ndo natafakari ni zao lipi likalo nipa faida zaidi kwenye ardhi hii ndo nimemaliza chuo najipanga kimaisha naitaji zao ambalo atleast litanipa mazao mengi,na kwasababu ndo naanza...
ningependa kupata mbegu na mie nilime kwa style hiyo ya kupandia nyumbani badala ya maua,napata wapi mbegu nzuri za nyanya chungu na bilinganya,na maelekezo ya kuztunza hadizkue,na znachukua mda gani kukua hadi mavuno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.