kwa wale wa mount meru university kuna room ya kukaa watu wanne karibu saana na chuo mimi ni mmoja wapo kwahiyo natafuta watatu wa kukaanao kwa maelezo zaidi nicheki kwa +255 767 182 142 sasa
1.0. UTANGULIZI
Bodi ya Mikopo ya
Wanafunzi wa Elimu ya Juu
ilianzishwa kwa sheria ya
Bunge Namba 9 ya mwaka
2004 na ilianza kufanya kazi
mnamo mwezi Julai mwaka
2005. Kwa mujibu wa sheria
hii, baadhi ya majukumu
makuu ya Bodi ni pamoja na
kutoa mikopo kwa wanafunzi
wahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.