Recent content by Mswati

  1. M

    Mwenye kujua zaidi kuhusu Eliakim Maswi, Katibu Mkuu wa Nishati na Madini

    Kwa Muda ambao nimemfahamu Maswi sio Mtu wa Kuyumbishwa na Pia anaonekana ana maslahi Mapana ya Taifa Moyoni hata kama ana mapungufu yatakuwa ya Kibinadamu.
  2. M

    Kikwete chonde chonde.....waziri wa fedha....

    Hahaahah, ni kweli ni mzuri. je ulimuandalia mazingira? sio watu wengine wapigie sisi emu halafu wewe upendekeze mtu wako. je waliompigia wakiacha nao kuipigia kwa sababu watu wao hawakuchaguliwa. nyumba ni msingi ndugu yangu. ninaamini siasa iko ivyo dunia nzima, ila ninamkubali sana Kileo...
Back
Top Bottom