Recent content by msubhati

  1. M

    JamiiForums Tanzania Siku tukimtumia Polepole vizuri, Nchi yetu itapiga hatua vizuri sana

    Ni sahihi kabisa, kipindi cha bunge la katiba alikuwa moto sana kutetea katiba na kuipinga serekali, baada ya kuingizwa kwenye mfumo na JPM akawa kimya na kutetea yaliyokuwa yanaendelea kipindi cha Jiwe, kutolewa kwenye mfumo ndio anaanza kelele tena mi namuona ni mchumia tumbo tu hana lolote...
  2. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 'System upgrade' ya Benki ya CRDB haisafishi Mafisadi?

    Walichosea ilipaswa wawaandae wateja angalau mwezi.mmoja kabla. Walitoa notice siku chache na wengine hawakupata taharifa ikazuq taharuki kwa wateja.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Siku tukimtumia Polepole vizuri, Nchi yetu itapiga hatua vizuri sana

    Kwani polepole hakuwai kuwepo kwenye serekali!! Je alitumikaje.!!! Mbona alishiriki kufanya maovu katika utawala uliopita na hakukemea. Nadhani hata yeye ana shida fulani kama sio uchu wa .madaraka.
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Sitamzuia Mke wangu kufanya kazi ya Siasa

    Sahihi kabisa ,kila mtu ana wito wake., ndoa isiwe sababu ya mke kutokutimiza ndoto zake.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Waziri ya mambo ya ndani, IGP na RPC wa mkoa wa Ruvuma watolewe ili kumwokoa Rais Samia kisiasa

    Kwani kwa sasa kuna waziri wa mambo ya ndani!!! Si Bunge naa baraza la mawazori limeshavunjwq au mimi nsio sielewi. Uchaguzi ukipita nsio Rais atachagua waziri.mwinfine.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nini kimetokea mpaka marais watatu wenye asili ya Ukristo wakafa ?

    Mzee Mwinyi alikuwa ni muislam , na Rais aliyebaki hai ambaye hayuko madarakani ni mmoja tu Mh Jakaya. Sioni kama kuna hoja ya msingi hapa. Halafu fanya utafiti watu wa pwani wanaishi muda mrefu sana kuliko watu wa Bara. Angalia mzee wa pwani anaweza kuwa mtaani anapambana kuuza hata kahawa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia Suluhu: CCM kugharamia kwa asilimia 100 matibabu ya watu wasiokuwa na uwezo

    Hili litakuwa jambo jema sana. Hata sasa bado unafanya vizuri kusaidia watu matibabu .
  8. M

    JamiiForums Tanzania Huyu ENG. Hersi wamzuie mapema ataleta mtikisiko wa Kidiplomasia Afrika Mashariki na kati

    Mmeamua kumuonea Hersi. Naona mna chuki binafsi kwa jamaa.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ahmed Assas ana hati ya kusafiri ya kidiplomasia kwa hadhi ipi aliyo nayo? Nchi imeoza hii

    Amwchemka sana, hakupaswa kabisa kufanya hivyo. Sio kila kitu ku show off.
  10. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Huenda Waziri mkuu ajaye akatokea Jimbo la Arusha mjini!

    Kwani.mi nimetaja Hanang
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Huenda Waziri mkuu ajaye akatokea Jimbo la Arusha mjini!

    Kwani Monduli iko.mkoa gani???
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Kuongea na watanzania Agost 6, saa 2:00 kuhusu mustakabali wa taifa

    Chadema mnacheza ngoma ya polepole hamjashtuka tu, siku moja kabla Lisu kwenda mahaka.ni polepole anaongea anawatoa kwenye reli mnabaki mnamuongelea yeye mnamsahau mwenyekiti wenu kweli nyinyi manyumbu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajumbe wampitisha kwa kishindo Asma Ali Hassan Mwinyi

    All the best my classmate.
Back
Top Bottom