nashauri tu kama una elimu au ujuzi fulani unaotambulika maybe diploma au degree ya kitu fulani komaa tu mtaani tafuta visehem ujishikize muda huo unausoma mtaa.. kujitolea nikama kufata odds 15 za ugenini kwa laki mbili.. vijana wengi bado wanaamini ukienda huko una asilimia kubwa kuajiriwa...
Watu hawawezi kuelewa ila akimaliza mkataba hataamini.. wale madogo walioandamana kipindi kile ndio picha ya uhalisia wa maumivu utayopata baada ya kukosa ulichokitarajia kila la kheri vijana
Vijana wengi hua wanazani ukishaenda jkt tu basi una nafasi kubwa ya kupata ajira za majeshi bila kujua kwamba inahitajika nguvu kubwa sana nyuma yako otherwise uwe na upepo binafsi.. ndiomana nikasema kama una mishe ya kukuingizia kipato ukaishi vizuri baki tu mtaani
Hii ni kweri japo nashauri tu kama mtu unamchongo wako mtaani endelea tu kupambana usiende JKT maan kule unakaa tu kama mskule hujui ni lini watakuja kufanya usaili upo tu na kama wakija hujui kama utapata japo umewalimia mashamba yao USIENDE jkt kama huna mtu mkubwa nyuma yako anaekushika mkono...
Kilichoendelea mpaka mkaona simu aziiti japo kuna walioenda kwa maelekezo na ni wachache..baada ya maombi kutumwa MI walifatilia na kugundua kwamba nafasi za uraiani zimeuzwa kwa asilimia kubwa mkubwa alikua anapeleka jina la kijana akidai ni ndugu kumbe kapiwa hela ili kuepusha ufanisi wa kazi...
Ndugu zangu Izi issue za ajira hua ni ngumu sana atakama una mbanga wa uhakika usijipe asilimia zote maana ata wao hua wanafata utaratibu muda mwingine hawezi tu akaenda ofisi Ya CP na jina lako akampa kwamba dogo apige kozi lazima ajue namna ya kuongea nae( utaratibu). Ndiomana kila mbuyu una...
Hii issue ya kupiga simu imekaa kimkakati sana ukitulia utaelewa ni njia yakupata gape la kuingiza ndugu zao kwanini usitoe pdf kila mtu aone kama taasisi zingine zinavofanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.