Ndio ebu fikiria Kwa mnufaika wa miaka 3 hapo ana jumla ya boom cycle takribani ×4. × miaka 3 ni sawa na kuchukua pesa ya kujikima awamu 12 hivyo ikikatwa ELFU 40000/= Kwa Kila awamu Kuna shingapi baada ya kuhitimu??? SI mtaji tosha
Jambo hili huweza kusaidia Kwa namba moja au nyingine katika kujikwamua kimaisha mara baada ya masomo hivyo Kwa Tanzania tuitakayo Kwa kipindi Cha miaka 5 Hadi 25 jambo hili linaweza kuwa chachu ya mabadiliko miongoni mwa wanamabadiliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.