Recent content by msolid Sir Safisafi

  1. M

    SoC04 Fedha za HESLB kuunganisha na mfumo wa NSSF

    Ndio ebu fikiria Kwa mnufaika wa miaka 3 hapo ana jumla ya boom cycle takribani ×4. × miaka 3 ni sawa na kuchukua pesa ya kujikima awamu 12 hivyo ikikatwa ELFU 40000/= Kwa Kila awamu Kuna shingapi baada ya kuhitimu??? SI mtaji tosha
  2. M

    SoC04 Fedha za HESLB kuunganisha na mfumo wa NSSF

    Jambo hili huweza kusaidia Kwa namba moja au nyingine katika kujikwamua kimaisha mara baada ya masomo hivyo Kwa Tanzania tuitakayo Kwa kipindi Cha miaka 5 Hadi 25 jambo hili linaweza kuwa chachu ya mabadiliko miongoni mwa wanamabadiliko.
Back
Top Bottom