Recent content by msiyao

  1. M

    CHADEMA walipeni mawakala wenu waliosimamia uchaguzi

    Mm nilikuwa mmoja katika mawakala wao jumbo la tanga mjini kata ya central mpaka leo hii hatujalipwa na ukiwapigia cmu hawaeleweki hadi leo bado hawasem chochote kwa kweli kwa hali hii kwa nn mawakala wasiuze kura afu bora wangetuambia ni kazi ya kujitolea mtu aelewe
Back
Top Bottom