Kuna Babu kakutwa Stend ya Basi analia sana,kila wakimuuliza babu unalilia nini hasemi anaendelea kulia tu,wasamalia
wema wakambeba hadi hospitali,Doctor akamuuliza babu unaumwa nini:Babu akajibu kwa upole sana SIUMWI ILA VIATU
VINANIBANA !!!!!!
Mtu na Mkewe wanagombana chumbani,ghafla ugomvi unakuwa mkubwa na mke anaamua kukusanya
vitu vyake kwa lengo la kuondoka,Mume anashangaa- anamuuliza,Unakusanya vitu unaenda wapi? Mke kwa nyodo
anajibu Nakwenda kwa Mama yangu.Mume naye akaanza kukusanya nguo zake na kuweka kwenye mabegi yake...
Zuzu mmoja alienda kumtembelea rafiki yake ilipofika ucku mvua kubwa ikaanza kunyesha.
Mwenyeji: Duuh! Mvua ni kubwa sana,kama vip lala hapo sebuleni utaondoka asubuhi
Jamaa:Sawa.Baaada ya mvua yule mwenyeji alipotoka sebuleni kunywa maji,akamkuta jamaa kalowa
maji mwili mzima.
Mwenyeji: He...
Katika mahubiri
Pastor:Ningekuwa na uwezo ningechukua Guiness zote na kuzimwaga mtoni!!
Waumini:Ameen!
Pastor:Ningechukua Safari Lager zote na kuzimwaga mtoni!!
Waumini: Ameen!
Pastor:Ningechukua Konyagi zote na kuzimwaga mtoni!!
Waumini: Ameen!
Pastor:Ningechukua Banana zote na kuzimwaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.