Recent content by Mshuka1

  1. M

    Babuuuu....!!!!!

    Kuna Babu kakutwa Stend ya Basi analia sana,kila wakimuuliza babu unalilia nini hasemi anaendelea kulia tu,wasamalia wema wakambeba hadi hospitali,Doctor akamuuliza babu unaumwa nini:Babu akajibu kwa upole sana SIUMWI ILA VIATU VINANIBANA !!!!!!
  2. M

    Dawa ya moto ni moto

    Mtu na Mkewe wanagombana chumbani,ghafla ugomvi unakuwa mkubwa na mke anaamua kukusanya vitu vyake kwa lengo la kuondoka,Mume anashangaa- anamuuliza,Unakusanya vitu unaenda wapi? Mke kwa nyodo anajibu Nakwenda kwa Mama yangu.Mume naye akaanza kukusanya nguo zake na kuweka kwenye mabegi yake...
  3. M

    Kwa taarifa tu...!!!!

    "System ya kulipia kodi ya line ya simu sh.1000/=,ikianza tu!! Nitakuwa napatikana hapa: S.L.P. 007.Arusha,TANZANIA."
  4. M

    Zuzu.....!!!!

    Zuzu mmoja alienda kumtembelea rafiki yake ilipofika ucku mvua kubwa ikaanza kunyesha. Mwenyeji: Duuh! Mvua ni kubwa sana,kama vip lala hapo sebuleni utaondoka asubuhi Jamaa:Sawa.Baaada ya mvua yule mwenyeji alipotoka sebuleni kunywa maji,akamkuta jamaa kalowa maji mwili mzima. Mwenyeji: He...
  5. M

    Waumini bwana.....!!!!!!!

    Katika mahubiri Pastor:Ningekuwa na uwezo ningechukua Guiness zote na kuzimwaga mtoni!! Waumini:Ameen! Pastor:Ningechukua Safari Lager zote na kuzimwaga mtoni!! Waumini: Ameen! Pastor:Ningechukua Konyagi zote na kuzimwaga mtoni!! Waumini: Ameen! Pastor:Ningechukua Banana zote na kuzimwaga...
Back
Top Bottom