Lengo la uzi huu nikutaka kujua kama walioomba nafasi JWTZ, wameshaitwa kwenye usaili au bado maana, kila nikitembelea tovuti zao hakuna tamko lolote, au ndio zile za kupeana wameshaita watu wao maana hakuna uvumi wowote, ni kuhusu hizi ajira zao, mwenye kujua atusanue basi tuendelee kusubiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.