Naitwa msemakweli mzee wa kazi, nimevutiwa na baadhi ya washirika ktk mtandao huu na kushangazwa na wengine, hao wanaojidai ndio wazee wa mtandao huu mbona wanataka kumkacha KIVULI? Hasaa huyo ES, nyie si wafumbuzi wa mambo? Mjibuni basi Kivuli tufurahi, mzee wa kidongo chekundu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.