Recent content by MSANGI AJ

  1. M

    Serikali na ajira za walim 2013

    Serikali imezoea kuwahadaa wananchi na ndio maana Mtwara wameamua kuandamana hata kumwaga damu lakini haki yao waipate.
  2. M

    Walimu jf nisaidieni mwenzenu!

    mara tu baada ya matokeo ya form six na una aply kwa katibu mkuu.Kwa sasa gharama ya ada ni laki mbili kwa mwaka na kunakua na michango mingine midogomidogo inayoweza kufika laki hadi laki na nusu.
  3. M

    Ajira za Walimu kutangazwa leo.

    Bado tu hawajatangaza?mbona wanatuboa sana...wanafanya ufisadi gani hadi iwe ina suasua?
  4. M

    Ajira za Walimu kutangazwa leo.

    jipe moyo ndugu watatoa leo kama si kesho Yona
  5. M

    Ajira za Walimu kutangazwa leo.

    Itakua vizuri kwani watu wamesubiri hadi kukata tamaa.AHSANTE KWA TAARIFA KAMA NI KWELI....!!
Back
Top Bottom