Naomba uirudie kuisoma kwa mara ya pili comment ya huyu unae mnukuu
Anadai alisalitiwa, akasamehe, lakini hampendi tena mkewe, hampi msaada wowote, hata matumizi ya ndani hampi, ni yy na watoto wake tu, anadai mkewe kachoka ile mbaya,
Nadhani unaweza kuiona jela anayoishi huyu uliemnukuu, in...