Zile kura wanazopata CCM zinapigwa na wanajeshi?
Acha kujidanganya, yaani mgombea wenu anasimama jukwaani anatoa somo la sheria kama lecturer wa Mzumbe halafu utegemee atapata kura? Oct 28 tutawaonesha tunachokitaka wananchi
Kwanini mnaongelea udini tu bila kutoa suluhisho?
Nachokiona hapa ni kwamba kuna asilimia fulani ya ukweli ndani yake, na kuna watu wanafaidika sana na hii inayoonekana kuwa ni dhuluma
Kwanza tutambue wazi kuwa suala la udini, ukanda na jinsia ni malalamiko makubwa sana ambayo kila mara...
Muuliza swali kwa Mheshimiwa Rais aliweka wazi kabisa kuwa wanasiasa na wafugaji ndiyo waharibifu wakubwa wa hifadhi zetu.
Hapa moja kwa moja alikusudia kuwa wafugaji wanaharibu uoto wa asili wa hifadhi kwa kulisha mifugo yao, huku wanasiasa wakishika nafasi ya unahodha kwenye timu ya ujangili...
kwa ufupi hiki kikosi cha kupambana na ujangili na TANAPA yote kwa ujumla wake inapaswa kuchunguzwa. Malalamiko ni mengi sana dhidi yao, kwanza ndiyo wahusika wakubwa wa wizi wa nyara zetu na wanawatupia wanyonge mzigo wa dhuluma zao
Wakubwa wa hawa wahusika naomba muyafanyie kazi malalamiko...
Mi nadhani wewe mtoa post huishi Tanzania na hapo mwanzo ulikuwa hufuatilii yanayoendelea hapa nchini.
Nasema hivi kwakuwa nakuona ni mtu wa ajabu sana unaposhangaa idara za serikali kutumiwa kwa maslahi ya mtu au kikundi kidogo cha watu; na wakati mwingine hata idara nyeti zaidi hufanya kazi...
TANAPA MUMEITIA AIBU SERIKALI NA MUMEMTIA AIBU RAIS WETU ANAYEPIGANIA HAKI ZA WANYONGE. NI JAMBO LA KUSTAAJABISHA KUONA CHOMBO CHA DOLA NA MUHIMILI NYETI KAMA TANAPA KUINGILIA CHUKI ZA KISIASA, HIVI SIASA NA WANYAMA PORI MBONA NI VITU VIWILI TOFAUTI?
MIUJIZA KAMA HII HAIWEZI TOKEA POPOTE...
Rais John Magufuli masters fake ipo NSSF ya Dominic Mbwete. Mhe Rais alipokuwa kwenye ziara bandarini na siku ya uzinduzi wa ndege mpya alieleza kuwa anawatafuta watu wenye elimu za juu ambao ni fake na wamepewa madaraka. NSSF yupo Acting Director wa DHRA anayedai kuwa masters yake ameipata...
Je Ngosha alipokuwa anakataa kukabidhiwa Uenyekiti alikuwa anakimbia kujibu nini?
Kinana anahitaji kupumzika, amefanya kazi kubwa sana kwa maslahi ya Taifa na Chama
Umesema kweli Ndugu yangu kwa maana upanuzi wa kiwanja cha ndege Dodoma ni kupambana na wapinzani
kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka mitano ni kupambana na upinzani
kufuta ada shule ya msingi na sekondari ni kupambana na upinzani
Kufukuza watumishi hewa serikalini ni kupambana na...
Mabadiliko ndani ya Chama hayawezi kufanywa ndani ya siku moja, tena kwa mtu aliyepewa nafasi ya Mwenyekiti leo leo. Chama tawala ndiyo serikali tawala, yahitaji busara nyingi sana kukiendesha. Nyie wa vyama vya uchochoroni mnaweza tu kuamua chochote kwa muda wowote kwakua maamuzi yenu hayagusi...
Kwakuwa Sheria inamruhusu kufanya hivyo na kwa kutambua umuhimu na utendaji mkubwa wa Komred Kinana basi hatuna budi kukubaliana na fikra pevu za Mwenyekiti.
Hatuna budi kumpongeza Mzee Kinana kwa uhodari na ushupavu wake pamoja na mchango wake mkubwa katika kukipitisha Chama kwenye wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.