kuna baadhi ya mashirika yanatoa siku mbili kuinterview but mengi yao huwa ni siku moja tu! kwa hiyo ni choice yako kujua wapi kuna maslahi zaidi zaaidi ya hapo ujue kama imekula kwako man!
ukweli ni kwamba usipokua mfuatiliaji mambo yanakua mazito! ninachokuomba usikate tamaa fuatilia na pia volunteer usiombe sehemu moja kwani ni wachache wanaokubali jitahidi kupeleka sehemu mbalimbali najua ipo sehemu moja wapo mungu atakupokelesha!
ofcoz ni challenj lakini usikate tamaa mkuu kuwa mvumilivu! pia jitume kwenye kazi nyingine ambazo haziitaji elimu huku ukiiangalia bahati yako! ila kiufupi mtaani ndio kilivyo!
sure! dunia imechenji kila ajira elimu yako umeishia wapi? sasa karata za tusiosomwa hazipatikani tena! inatisha jamani tukumbuke watanzania wote ni ndugu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.