Jamani naombeni mnisaidie sidhani kama nimepost kwenye jukwaa husika lakini kuna ndoto imenichanganya nmeota kwamba,nmejifungua mtoto hospitali lakini akawa katika uangalizi cha kushangaza nilijufungua mtoto wa kiume lakini akabadirishwa akawekwa wa kike nikawa napiga kelele wodini kutaka kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.