Recent content by mruturutu

  1. M

    Yeyote Anayetaja Amani Bila Kutaja HAKI, Ni Mnafiki, Tumzomee.

    Mtu atatimiza wajibu wake kama akiamini atapata haki
  2. M

    Nakusudia kuichangia CHADEMA lakini!

    Mnatozwa kodi ambayo ni michango yenu na inatumika vibaya na hamlalamki.Chama kinaomba kuchangiwa ili kukiwezesha kutoa elimu kwa wananchi ili wapate ufahamu wa jinsi nchi yenu inavyofanya matumizi mabaya ya michango yenu mnalalamika vipinyie watanzania?
  3. M

    Uongozi mpya wa CHADEMA hauna mpango mkakati wakujitegemea kiuchumi wala kujiendesha bila kuomba pesa kwa wananchi masikini

    Kwani serikali inajiendesha kwa kufanya biashra gani,kodi zenu ni michango pia au kwakuwa imepewa jina kodi,tozo nk
  4. M

    Viongozi wananunua magoli ya mpira huku wagonjwa mkoani Ruvuma wilaya ya Tunduru wanabebwa kwenye matenga!

    Mtoa mada anamaanisha pesa ya walipa kodi inatumika billa kuzingatia umuhimu na mfano mmoja wapo ni huo wa mgonjwa kusafirishwa kwa tenga na umuhimu unapewa goli la mama na mifano ipo mingi . . .
Back
Top Bottom