Mnatozwa kodi ambayo ni michango yenu na inatumika vibaya na hamlalamki.Chama kinaomba kuchangiwa ili kukiwezesha kutoa elimu kwa wananchi ili wapate ufahamu wa jinsi nchi yenu inavyofanya matumizi mabaya ya michango yenu mnalalamika vipinyie watanzania?
Mtoa mada anamaanisha pesa ya walipa kodi inatumika billa kuzingatia umuhimu na mfano mmoja wapo ni huo wa mgonjwa kusafirishwa kwa tenga na umuhimu unapewa goli la mama na mifano ipo mingi
. .
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.