mwaya nilishamuona ndo wanaompa hizi carbazepine na pia alipimwa CT scan, EEG wakasema yuko sawa ndo wakasema wamwanzishie tu kwanza hizi dawa za degedege waone kama iyo hali itaisha lakin ndo ivyo sasa kashameza carbamazepine mwezi mzima bila mafanikio
mwaya nilishamuona ndo wanaompa hizi carbazepine na pia alipimwa CT scan, EEG wakasema yuko sawa ndo wakasema wamwanzishie tu kwanza hizi dawa za degedege waone kama iyo hali itaisha lakin ndo ivyo sasa kashameza carbamazepine mwezi mzima bila mafanikio
habar zenu wapendwa, naomba kuuliza mtoto wangu kuna jinsi ananyoosha miguu kwa kuikakamaza na answet anafanya ivo kwa sekunde chache na kuacha sasa imechukua almost 2 years, kapewa dawa za degedege kwa mwezi mzima lakni hakuna mabadiliko dawa zenyewe ni (carbamazepine)
JAMAN NAOMBA KUULIZA MTOTO KUKAKAMAZA MIGUU KWA SEKUNDE CHACHE NA KUACHA SHIDA INAKUWA NI NINI? MAANA HOSPITAL ALIPEWA DAWA ZA DEGEDEGE CARBAMAZEPINE MWEZI MZMA LAKN IYO HALI HAIISHI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.