Recent content by MRS JUMA

  1. M

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    doctor, naomba kuuliza kwan ugonjwa wowote wa kurithi hautibiki?
  2. M

    Mtoto kukakamaa

    Ni mtoto wa kwanza na nilijifungua nikiwa na miaka 24
  3. M

    Mtoto kukakamaa

    sawa shukran na ubarikiwe na mungu
  4. M

    Mtoto kukakamaa

    sawa iyo kidonge kimoja ni kwa umri wowote? maana ana miaka minne (4)
  5. M

    Mtoto kukakamaa

    sawa nashukuru mwaya
  6. M

    Mtoto kukakamaa

    h alipewa pia Neurotone si nayo ndo hizo vitamin pia
  7. M

    Mtoto kukakamaa

    mwaya nilishamuona ndo wanaompa hizi carbazepine na pia alipimwa CT scan, EEG wakasema yuko sawa ndo wakasema wamwanzishie tu kwanza hizi dawa za degedege waone kama iyo hali itaisha lakin ndo ivyo sasa kashameza carbamazepine mwezi mzima bila mafanikio
  8. M

    Mtoto kukakamaa

    mwaya nilishamuona ndo wanaompa hizi carbazepine na pia alipimwa CT scan, EEG wakasema yuko sawa ndo wakasema wamwanzishie tu kwanza hizi dawa za degedege waone kama iyo hali itaisha lakin ndo ivyo sasa kashameza carbamazepine mwezi mzima bila mafanikio
  9. M

    Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

    JE, hi habatsouda unaweza kutumia wakati unameza dawa za hospitali?
  10. M

    Mtoto kukakamaa

    habar zenu wapendwa, naomba kuuliza mtoto wangu kuna jinsi ananyoosha miguu kwa kuikakamaza na answet anafanya ivo kwa sekunde chache na kuacha sasa imechukua almost 2 years, kapewa dawa za degedege kwa mwezi mzima lakni hakuna mabadiliko dawa zenyewe ni (carbamazepine)
  11. M

    Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

    JAMAN NAOMBA KUULIZA MTOTO KUKAKAMAZA MIGUU KWA SEKUNDE CHACHE NA KUACHA SHIDA INAKUWA NI NINI? MAANA HOSPITAL ALIPEWA DAWA ZA DEGEDEGE CARBAMAZEPINE MWEZI MZMA LAKN IYO HALI HAIISHI
Back
Top Bottom