NILIWAHI KUANDIKA UZI KUHUSU KUPEANA UZOEFU WA KUISHI NA MAMA MKWE ALL IN ALL TUKUBALI TUKATAE KUKAA PAMOJA MAMA MKWE BABA MKWE MAWIFI MASHEMEGI MUME MKE NI CHANGAMOTO KUBWA INAHITAJI UVUMILIVU WA HALI YA JUU VINGINEVYO UTAKONDA UWE KAMA MOJA
asanteni sana wakuu kwa michango yenu wengi wenu kwa kweli munawaza kile ninachokiwaza mm na wale wanaoona kuwa mm pesa yangu ni yangu si kweli kwa kua wakati anahangaika kumuhifadhi mama mm nilijitoa sana ktk kuhakikisha mahitaji yetu hapo nyumabni yanakamilika na support kubwa ninatoa ktk...
mm ndio ninavowaza nipo na mume wangu bega kwa bega kuna kaka yake ambae alikataa kushiriki kumjengea mama yao watu walimuona ni katili lakini kwa kweli ameshajenga kwake yupo na familia yake wapo nafuraha na hakukuwa na ugomvi wowte baada ya kuwaambia ukweli kuwa mm naanza kujijenga mm na...
asante sana mkuu kwa kweli ninayoyafikiria ndio ninayoayaona ktk jamii nyingi ss ni waswahili hizi vitu vipo isijekufikia mnatengana kwa sababu ya ndugu wanaotuzunguka maana utavumilia mwishowe unaona na mm nawalipukia mnaanza kutushiana maneno
kwa kweli umeongea kitu cha ukweli ambacho hiko nina kifikiria sitaki maisha ya kujiact nataka niishi nikiwa na uhuru kama nikiwa kwangu na mume wangu itabidi ifikie hatua ukubaliane na viu ambavyo ukiwa wewe kama wewe hutovitaka lakini kwa kua upo under one roof na wakwe na mawifi ni lazima...
kabisa yaani mm ninawaza hivi hivi ila ki ukweli tatizo ss waislamu bwana ukitoka ukienda kuishi bila ya ruhusa ya mume hapo umefanya kosa kubwa sana na hiki ndio kinachonirudisha nyuma ila ningekua nimeshahamia zamani na ningekua nimeshaimaliza finishing zote
si mnajua wanaume wa kiafrica...
asante sana mm binafsi nimejenga nyumba ina 3 bedrooms but haina umeme mm nipo tayari kwenda tukaishi kwenye hii nyumba yangu lakini mume wangu hataki kwa kua anadai ni mbali sana usafiri tunao ila hayupo tayari kuishi ktk nyumba niliyoijenga
anataka tukaishi kwao kwa kua hiyo nyumba ya kwao...
huu ni utaratibu ambao tunajiwekea ktk family kuwa week end baada ya mihangaiko ya wiki nzima tunatumia muda mwingi kupumzika then tanaendelea na ratiba za kila siku na nimetolea tu mfano na hata ikiwa nitalala hadi saa zote ni kuwa tayari huyu mume wangu anaelewa mazingira halisi ya kazi wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.