ndugu wanajamii forum naomba kuuliza! Mimi nimechaguliwa udom Bsc. with education.
Je, ni lazima nilipe gharama zote ndio nisajiliwe chuoni? na kama jibu ndiyo, inakuwaje kwa m2 asiyekuwa na gharama hizo na anategemea tu mkopo?
Mi mkopo wamenipa 100%
wakubwa naomba kuuliza. Mimi nmechaguliwa udom bsc. with eductn! je, ni lazima nilipe gharama zote kabla ya kusajiliwa? na kama jibu ndiyo inakuwaje kwa m2 ambaye hizo gharama hana na anategemea tu mkopo? mkopo wamenipa 100%...
Mimi nimepangiwa chuo ambacho mwisho wa kulipa direct cost ni tarehe 15! Tatizo ni kwamba hichi kiasi bado Sina labda mpaka tr. 17 hivi! Je, nitakubaliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.