Shukrani kwa ushauri, ila kama ujuavyo wengi tunafungua biashara kwa lengo la kuongeza vyanzo vya mapato. Na huenda mtu ukawa unafanya kazi sehemu ila unaamua kufungua biashara siyo kwa lengo la kushinda hapo hapo ila kwa lengo la kwamba na yenyewe iwe ni sehemu ya kuongoza chochote kitu...
Habari wakuu, naamini mko salama kabisa.
Naomba msaada wa kimawazo na ushauri katika kufungua / kufanya biashara ya Barbershop (Saloon ya kiume) kiukweli sijawahi fanya kabisa hii biashara hapo awali lakini ninapenda niifanye, ila kama mjuavyo biashara yoyote ile kabla haujaifanya ni vyema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.