Iran. Wanasayans 12+ dead
Israel. Wanasayans 0 dead
Iran . Makamanda wakijesh 21 dead
Israel. Kamanda mmoja kajeruhiwa
Irani. Maeneo yaliyo pigwa. Vituo vya kijeshi 49
Israel. Kituo cha utafit wa sayan 1
Irani. Hivadhi za silaha 89
Israel. Hifadhi za silaha 0
Iran ndege za kivita ( f4 nk) 67...
Mtukakupiga makamanda wako 18. Wanasayansi 12 vituo vya kijeshi. 48, vituo vya nyuklia 3. Maghala ya silaha 21. halafu wakati ndo unajipata mtu anakuja from no where anagombelezea. Haya maumiv yaskie tu usiombe yakutokee
Basi tuseme iran imepigwa lakini viwango vya kugalagala bado hajafikia ili twende sawa. Pia Kama izrel imezuia media wew umejuaje kama pamekua kama gaza. Au nawew unaangalia clips za Ai za facebook...!
Wamekumezesha vibaya mashekhe zilizo pigwa ni mitambo ya kurutubisha na uraniam zilikua hazijarutubishwa sana bado.... uraniam hadi zilete mionz ni hadi zinaporutubishwa kuanzia 70%
Unafkiri ni magunia ya mchele ukitaka kuhamisha unabeba kichwanu unapeleka. Watu wanafatilia kila siku kuona kama zimehamishwa au lah.
Yan ujasusi wa mossad uweze kuona wanasansi wapo wapi. Na makamanda wapo wapi na kuwaua halaf washindwe kuona mzigo wa uraniam na mitambo yake ikihamishwa????
Nakumbuka nilivo kua mtoto. Kwenye ugomvi mwenzio akikupiga na kitu kizito kika kuingia hadi kikalia paaa. Wenzio wote wakaona. Lakini unabaki kumzomea alie kupiga kua Hiloooo sijaumia. Hiloo.
Lengo ni kumfanya aliekupiga aonekane boya mbele za watu ili kuendelea kutunza heshima yako...
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.