“Mimi ni msanii, mimi ni msanii,
Kioo cha jamii, kioo cha jamii,
Mimi naona mbali, mimi naona mbali,
Kwa darubini kali, kwa darubini kali.”
Nani anakumbuka huu wimbo? Mimi ninaukumbuka sana. Enzi hizo nilikuwa nasoma pale Shule ya Msingi Zanaki, Kata ya Upanga Mashariki. Wimbo huu uliimbwa na...
Kwa miaka mingi kumekuwa na hali duni katika sekta ya michezo nchini na hii ikijumuisha michezo yote ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa kikapu, mpira wa mikono, mchezo wa ngumi, michezo ya madola, na kadhalika. Hali hii imekuwa ikipelekea maswali mengi kutoka kwa wadau wa michezo juu ya uwezo wa...
Uchumi ni mali iliyopatikana kutokana na mali za nchi au watu. Vitu viwili vikubwa vinavyoweza kumsaidia mtu kufikia malengo yake kiuchumi na kimaisha ni Nidhamu binafsi na Nidhamu ya maisha; lakini huwezi kutengeneza nidhamu ya maisha bila ya kuwa na nidhamu binafsi.
Nidhamu binafsi ni uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.