na watu wengi wanaofatilia hizi mali za wajerumani, wanaishia kuwa kama machizi, sijui wanakosea masharti?? na wakirudi wanakuambia hali ngumu sanaa!! wachache wamefanikiwa!!
......
Barjun hizi Pasi zenyewe zikoje?? maana kuna jamaa huko geita ,mfuasi mzuri sanaa wa kutafuta hizi mali,ndugu...
Fafanua ,hichi kiungo tukipumzishe kivipi? Maana huu uzi ni kwa ajili ya Elimu(Educational purpose) haujalenga ubaguzi wala ukatili wa kijinsia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.