Recent content by mr swahili

  1. mr swahili

    Vitu gani vya kuzingatia kuendesha biashara ya chakula

    Nitazingatia maana hata mm sipndi uchafu
  2. mr swahili

    Vitu gani vya kuzingatia kuendesha biashara ya chakula

    Salama za dhati ziwafikie wapendwa. Mimi ni kijana wa miaka 23. Nilipenda nifungue restaurant kwa ajili ya uuzaji wa chakula. Changamoto kwangu ni kwamba sijui gharama halisi za kuanzisha biashara hiyo, vitu vya kuzingatia na mahitaji yake. Naombeni ushauri wenu ...
Back
Top Bottom