Recent content by Mr.samba de man

  1. M

    Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

    Jamaan nipate adimission letter ya sua 2014/2015 jamaan msaada watu tunataka kuomba ruhusa vibaruani da naona muda unakwenda hivi
  2. M

    Adimission letter ya sua 2014/2015

    Jamaani nitaipataje adimission ya sua maana ck nazo zayoyoma vibaruani hawatoi ruhusa mpaka hiyo hapo.msaada wenu
  3. M

    Majina yamechelewa kutoka, mwanafunzi atajiandaa muda gani?

    Kwa kweli mimi kama mdau wa elimu inaniuma sana ninapoona kuna tasisi kubwa kama TCU kushindwa kusimamia vyuo kama kweli ina mandate kwa nini isilazimishe vyuo ambavyo vimepewa majina ili vitangaze lakn mpaka leo hawajatangaza selection za degree mf Sua, Mzumbe n.k! La hasha! Mwanafunzi mfano...
  4. M

    Naomba kufahamu kuhusu RPL

    Mkuu RPL walishafanya mitihani na wakatoa matokeo na kutaka waliofaulu kuomba vyuo nafikiri waweza kuwa umechelewa.japo kuwapigia mara kwa mara vema watapokea 2 cm
  5. M

    NACTE wangefanya kama TCU

    Hawa jamaa NACTE kwa kweli wangefanya kama TCU kuandika assurence za selection kuliko kunyamaza tu kama sasa wanatuweka Roho juu watu wa Equiualent, Maana profile zipo vile2 wameongeza muda mpaka kesho na sehem ya Uhitaji yaani Capacity mpaka kozi zingne wameweka mpaka Negative no kwa maana...
  6. M

    Nimemaliza Diploma ya kilimo mwaka 2010, Naweza kupata mkopo HESLB mwaka huu ?

    kwani mkuu option kama zipi mkuu maana mie dip ya kilimo na nimeomba coz zote za mbili sua na udsm na zote ni science na matokeo ya Dip ni Second Class.ushaur zaidi
  7. M

    Nimemaliza Diploma ya kilimo mwaka 2010, Naweza kupata mkopo HESLB mwaka huu ?

    Wana JF mi nimemaliza diploma ya kilimo mwaka 2010 na nimeaply bodi ya mikopo mwaka huu ili nisome degree je naweza kupewa mkopo? Nawasilisha
  8. M

    Bodi ya mikopo na watu wa diploma inawahusu!!!

    kubwa ndio hilo acha tuendelee kuomba MUNGU
  9. M

    Bodi ya mikopo na watu wa diploma inawahusu!!!

    asante Irumba hicho kipengele bwana wadai tunawaomba coments zao mi diploma 2011 kurudi nyuma tumekata tamaa wengine wanasema ni zaidi ya miaka 3 kurudi nyuma da! Mpaka michanganyo!
  10. M

    Bodi ya mikopo na watu wa diploma inawahusu!!!

    Waku labda mi cijaelewa masharti ya bodi ya mikopo elimu ya juu 2014/2015 kuna kipengele kinasema aplicants must be completed diploma more than three year ago wana maana gan? Je watu wenye sifa hapo ni wale waliomalza muda gan? Naomba msaada wenu..
  11. M

    Bodi ya mikopo na watu wa diploma inawahusu!!!

    Waku labda mi cijaelewa masharti ya bodi ya mikopo elimu ya juu 2014/2015 kuna kipengele kinasema aplicants must be completed diploma more than three year ago wana maana gan? Je watu wenye sifa hapo ni wale waliomalza muda gan? Naomba msaada wenu.
  12. M

    Naomba ushauri juu ya uchaguaji wa kozi na jinsi ya ku-apply TCU.

    Lakn kaka Darius kwa mwaka huu tcu bado hawajatoa lini tuanze kuomba kwa mwaka wa masomo 2014/2015 et au tayar zimeanza?
  13. M

    Vyuo vinavyotoa diploma of Irrigation hapa Tz

    Kipo kimoja tu East Africa and Central ambacho ni Chuo cha kilimo Igurus Mbeya zaman Nyegezi ambapo saiz eneo lile linatumiwa na Saut Mwanza. Lakn uwe na ufaulu wa masomo ya science na chuo kipo km 20 toka Mbeya mjini lakn uyole hawana koz hiyo.
  14. M

    Tcu adimission 2014/2015 undergraduate

    Wadau tcu wanatoa lini matangazo ya kuanza kuomba vyuo kwa mwaka wa masomo 2014/2015 mwenye tetesi wadau jf
Back
Top Bottom