Moja ya kigezo Cha kujua uwajibikaji Ni kufahamu communication activity yake...
Sio kwamba muda wangu wote natumia JF na jimejiunga juzi baada ya hapa utoniona Tena..
So unaweza kuniamini au hapana... Sikulazimishi
Sasa ndugu yangu! Chato kubwa Sana.. pia Kuna rafiki zangu Sana huko! Ndio maana nakuuliza ili Kama Upo karibu na watu wangu iwe Rahisi.
Nimezunguka TANZANIa nzima...
Tangu mwaka 2006 nikiwa na marehemu Babu yangu! Ndio maana nakuuliza
Nitumie Namba yako PM nitakutafuta! Ila kuwa unanitumia Mara kwa Mara Mana Nina watu wengi Sana PM unaweza tuma message now ikawa ya 15.
Ila usijari nipo kwenye mpango wa kuandaa kikundi Cha WhatsApp.. soon kitakuwa tayari
Hao wasio weza kufanya hayo Ni wachawi na wanaotumia majini kuroga na kurudishana nyuma...
Mimi natumia majini miti na mizimu kutoa tiba ukija najua nitumie Nini kukusaidia...
Au niaze na wewe leo???
Baada ya hapo tuwe marafiki
Ukisema wanaotumia majini maana yake Ni hivi...
Mfano Mimi natumia majini, mizimu na vingine vingi kwenye kutibu watu. .
Ila wapo wanaotumia majini kuroga watu! Sasa Nauliza wanaotumia majini kutibu au kuroga watu?
Uchawi upo!
Mungu Yupo!
Vyote vipo!
Ukitaka msaada kwa Mungu kuwa mtenda mwema, Pili kuwa na subira..
Ukitaka msaada kwa tiba asili Jenga Imani...
Maamuzi ni yako!!
Ila Kama huamini nitukane hapa afu baada ya nusu SAA nakupa namba yangu kesho upande treni nije kukutibu.. I'm serious.
Kitwiru! Umenikumbusha mbali Sana[emoji2]
Kuna mkinga mmoja alipata pesa kwa kafara baadae akakosea MASHART aisee alipata tabu!!
Unajua kihistoria kwann kitwiru Kuna mawe mawe makubwa???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.