Recent content by Mr Mwabange

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dawa za ku boost uzazi

    PID (Pelvic Inflammatory Disease) , inaweza sababisha ugumu kupata mimba au mtoto huku Fungus ikiwa ni matokeo yake ya inflammation, UTI pia maana mwili unakuwa hauna uwezo kupambana na bakteria , hivyo haya matatizo yanaweza kuwa yanakuwa yakijirudia Xianhe Natural System Knowledge...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la miguu kuwaka moto nyakati za usiku na macho kupungua nguvu ya kuona

    Mzunguko wa damu mwilini hauko sawa , ili macho yapate uono sahihi yanahitaji damu ifike vizuri kwenye macho , na hata miguu vivyo hivyo Tunachojua mtoto wa rika lake ni ngumu kupatikana na changamoto kama hizo , maana mazoezi ni mengi kama kucheza mpira na mengineyo , Sasa huenda hapendelei...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya mtoto kulia sana usiku

    Huyo mtoto ana shida ya Mmeng’enyo wa chakula , halafu pia nishati ( Energy) yake iko stuck level kiasi kwamba haifungui Mifumo kufanya Kazi vizuri , kwa hiyo akila chakula usiku analemewa , hawezi kupumua sawa sawa , kwa maana Tumbo badala ya kusukuma chakula chini husukuma juu , ndio maana...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la miguu kuwaka moto nyakati za usiku na macho kupungua nguvu ya kuona

    Mwambie atembee pekua , mara nyingi kama anavaa viatu kwa muda mrefu , huwa anajitenga na asili , afanye hivyo tu atapona kabisa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

    Wanachofanya hospital ni kujitahidi tu kushusha Sukari , lakini kiuhalisia sukari ni ndogo maana yake Sukari haifiki kwenye Seli ili kuwa Energy na kuleta nguvu mwilini Tabibu Joseph ( Tiba asili ) Ukiona mtu antokwa jasho sana bila sababu , hasa wakati amelala usiku, anapata Kiu mara kwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufanyiwa CT-Scan ya tumbo, hali imebadilika na kuwa mbaya

    Hello ndugu , pole sana kwa changamoto hiyo ! Mimi kama Tabibu wa dawa asili zenye uwezo wa hali ya juu #1 duniani kutoka Marekani! Iko hivi : Hakuna jambo lisilokuwa na sababu , Nature inaeleza kila kitu , Katika vipimo vya hospitali haviwezi baini kitu kinachoitwa “Energy imbalance”...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Niligundulika na tatizo la vidonda vya tumbo, dozi niliyopewa imeisha lakini sijapata nafuu

    Pole ! Vidonda vya Tumbo ni tatizo la mfumo wa Mmeng’enyo wa chakula ambapo nishati zake huwa haziko kwenye uwiano sahihi kwenye Mfumo wa Tumbo hivyo kusababisha matatizo mbalimbali likiwemo hilo la Vidonda vya Tumbo ( Water Energy & Fire energy) Heshoutang Natural healthy system / Xianhe...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la moyo

    Pole sana ndugu , amini kila jambo lina mlango wa kutokea Katika tiba yoyote ukiona unatumia dawa muda mrefu na huponi ujue sio dawa sahihi kwa aina ya tatizo lako , yaweza kuwa wengine walipona , lakini afya hutegemea mambo mengi kama Uwezo wa mwili , muda wa tatizo na ukubwa wake na pia...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

    Hutakiwi kutumia vidonge ili kupata nguvu za kiume , bali unahitaji kutibu mfumo wa uzazi kwa mwanaume ambao ni Figo & Kibofu Tutahitaji kufanya diagnosis ili kujua shida gani husababisha , Kama Nishati kwenye Mfumo wa Figo & Kibofu haziko na uwiano sahihi hivyo kujenga toxin na kudhoofisha...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nitapata wapi Daktari wa ngozi Arusha?

    Katika Nature Knowledge ( Heshoutang Natural Health system/ Xianhe) : SKIN / NGOZI Hilo tatizo hutokana na Toxin tunaita hot toxin au hot dampness toxin , kuvamia ngozi na kuzuia mzunguko wa damu kwenye ngozi hivyo madhara kama hayo kutokea , Sasa katika kutibu tatizo kama hilo lazima pia...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

    Hapa ninaongea kama mmojawapo wa matabibu kutoka kampuni kubwa sana ya tiba #1 Duniani ! Kuna aina mbili za hatua za ugonjwa / Classification of Diseases: 1. Functional level disease 2. Organic level disease. Functional level disease is Connected with Mind/ Spirit disorder or body energy...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Eti hii imekaaje

    Chest pain , hiyo ni blockage / blood stuck So tunahitaji kuvunja blockage / improve circulation Atakuwa sawa , tatizo liko kwenye hatua za awali so linasababishwa na Energy flow disorder na kusababisha mzunguko wa damu kukwama ,hivyo maumivu kama hayo kutokea ! Vipimo vya hospitali haviwezi...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Daktari wa magonjwa wa akili

    Pia kwa kukusaidia , natural medicine kupitia advanced Traditional Chinese medicine ( TCM ) world #1 ; Heshoutang Natural Health System / Xianhe ( USA) International Knowledge MSONGO WA MAWAZO / ANXIETY & DEPRESSION: ( emotional disorder) Hili tatizo liko connected na Mfumo wa Ini & Nyongo /...
  14. M

    JamiiForums Tanzania MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

    Tunahitaji kuhusisha na mishipa ya fahamu / neurology, umeme wake / energy Circulation solutions , ambapo itaenda kufanya stimulation na wepesi kwenye Neva za ubongo na kuondoa hali ya uzito , watapata kuongea vizuri , Ila pia tungehitaji kufanya diagnosis kulingana na Mifumo yetu ya matibabu ...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Dawa ya Fungus ipo : Kwa nini fungus ? Heshoutang Natural Health system/ Xianhe ( USA ) International Tanzania Fungus ni infection, kwenye ngozi inayotokana na toxin , tunaita Hot toxin or hot dampness toxin , hii madhara yake inaenda kukwamisha mzunguko wa damu kwenye ngozi na kusababisha...
Back
Top Bottom