Hi,Naomba ambaye amefanikiwa kuanzisha au kumiliki biashara ya vyombo vya majumbanii kama vilee mabakuli,sahani ,vikombe..nk naomba kuelewa amekumbana na changamoto zipi na vipi imemlipa kiasi thanks please naombenii nina mpango wa kuanza hii biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.