Haswa binafsi ila ila kazi bila kushikwa mkono au kuinunua ni ngum kupata maana naombaga sana ata kwenye interview auitwi na sehem nyingi situmi kwakua wanatakaga 4m4 certificate
Ndio nnaombaga ila kazi bila kushikwa mkono ni ngum kupata iwe bahati nasibu yako maana nafasi nyingi za madereva zikitoka ni 3 au 1 na wengi tunaombaga ingawa changamoto kubwa ni cheti cha form four mimi nna leaving certificate.
Habari zenu wana familia ya jamii Forums ndugu yenu nna shida naimani naweza pata msaada kupitia nyinyi mimi kitaaluma ni dereva na nina driving licence yenye daraja A B C1 C2 C3 D E na nilisoma NIT mwaka 2013 kozi ya ADVANCED DRIVING GRADE TWO (VIP) Ndugu zangu naomba mnisaidie kupata kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.