Habari za wakati huu wakuu?? Natumaini wote ni wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku
Moja kwa moja niende kwenye lengo la uzi huu mimi nataka nifungue biashara yangu( )ambayo itanihitaji ninunue tv ili kuifanikisha kama moja ya mahitaji ya biashara husika tv ninazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.