Recent content by Mr jemoo

  1. Mr jemoo

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Jamani asanteni naendelea kuchukua nondo mi niwatoe wasiwasi kuhusu Huduma zangu zote na usafi nilizingatia sana na mapishi pia sikuanza kwenye mfungo n before pia nipo site nzuri kupita wote ila huu mtaa kiuhalisia mambo ya kishirikina na kuonekana wivu wa naendeleoni mambo Yao unauza mkaa ila...
  2. Mr jemoo

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Jamani Wana Jamii forum nilitengemeza mgahawa wangu mzuri na Classic maeneo flani kwa ajili ya mapishi ya Supu,chapati,ugali, na wali. Nikawa nauza vizuri TU siku ya kwanza hamna hata Chakula kimoja kilibaki yaan saa 5 hamna supu Wala chapati mchana hivo hivo Ila siku zilivyoenda kama wiki ya...
Back
Top Bottom