Recent content by Mr jemoo

  1. Mr jemoo

    JamiiForums Tanzania Mgahawa wangu mambo yalikuwa mazuri, ghafla imedoda, nifanye nini biashara irejee kwenye mstari?

    Jamani asanteni naendelea kuchukua nondo mi niwatoe wasiwasi kuhusu Huduma zangu zote na usafi nilizingatia sana na mapishi pia sikuanza kwenye mfungo n before pia nipo site nzuri kupita wote ila huu mtaa kiuhalisia mambo ya kishirikina na kuonekana wivu wa naendeleoni mambo Yao unauza mkaa ila...
  2. Mr jemoo

    JamiiForums Tanzania Mgahawa wangu mambo yalikuwa mazuri, ghafla imedoda, nifanye nini biashara irejee kwenye mstari?

    Jamani Wana JamiiForums nilitengeneza mgahawa wangu mzuri na Classic maeneo flani kwa ajili ya mapishi ya Supu, chapati, ugali, na wali. Nikawa nauza vizuri tu siku ya kwanza hamna hata Chakula kimoja kilichobaki, yaani Saa 5 hamna supu Wala chapati mchana hivyohivyo. Ila siku zilivyoenda kama...
Back
Top Bottom