Recent content by mr himself yah

  1. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Hahahaha nimecheka kinoma noma maelekezo muhimu kaka
  2. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mm naona tupeane moyo maana na tuhamasishane wadau
  3. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mbona kama mnawatisha sana umu watu.Ingekuwa kama ukaguzi ndo upo hvyo basi watu wasingeipata hyo kazi
  4. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Kwa anaejua watu waliopangiwa kufanya interview wilaya ya kinondoni wanafanya interview sehem gan? Na muda wa kuripo kwenye interview kuanzia saa ngap? Interview inafanyika osterbay au kwa mkuu wa wilaya
  5. M

    Mambo ya kuzingatia kabla ya kwenda kwenye usaili wa Jeshi la Polisi

    Usaili wa kinondoni unafanyika kwa mkuu wa wilaya au
  6. M

    Msaada kuhusu usaili wa ajira za polisi

    Kwa waliopangiwa kinondoni usaili wanafanya kwa mkuu wa wilaya msaada kwa anaefahamu
  7. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Watu waliochaguliwa kufanya interview kinondoni wanafanyia maeneo gan? Kwenye kituo kikubwa cha polisi cha wilaya au kwa mkuu wa wilaya au mkuu wa mkoa msaada kwa anaejua
  8. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Wanafanya interview wilaya ya kinondoni interview watafanyia wap msaada
  9. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Habari ndugu nauliza hivi kama umepangiwq kufanya interview kinondoni je unaenda kwenye kituo kikubwa cha polisi cha wilaya hiyo kufanya interview au unaenda kwa mkuu wa wilaya wa kinondoni kufanya interview
  10. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Interview za jeshi la police huwa ni ngap? Na damu mnapima kwenye interview pale pale au kuna kuwa na utaribu gan
  11. M

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Je kama una degree alf ukatumia chet cha form six kuomba na ukakubaliwa je ukitaka kutumia cheti cha degree ni baada ya muda gan na process zake zinakuwaje? Na hv kuoa ni baada ya miaka mingap ya kufanya kaz
Back
Top Bottom