Recent content by mr Dude

  1. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Hata wewe na kushangaa kwa upuuzi wako kushangaa kenya kuja kuomba dawa , inamaana waliishiwa kwenye stock, sasa sijashangaa unachowashwa ni nini. Na sidhani kama walikuja kuomba wapewa bure ila si wenyewe tuu ndo tumewapa bure, tungewahuzia wasingekataa kununua. Any way sishangai ndo yale...
  2. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Kwani wamerekani ni akina nani? Sisi wenyewe siasi za Kijamaa ni chazo kimoja chake cha umaskini. Undo maana China Deng Xiaoping Aliitoa china na akaleta wawekezaji kutoka nje. Sasa za kijamaa zinafanya watu maskini sana.
  3. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Uoni kama unakataa hoja zako
  4. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Wewe ndo huna fact kabisa. Eti unakaa kushinda nisha na kenya. Wakati hata wewe kama wewe naamini shida nyingi tuu unazo. Unataka mimi nikujibu wakati vyangu hujibu eboo
  5. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Wewe ndo huna fact kabisa. Eti unakaa kushinda nisha na kenya. Wakati hata wewe kama wewe naamini shida nyingi tuu unazo. Unataka mimi nikujibu wakati vyangu hujibu eboo
  6. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Kingine naamini unaelewa kuwa unaweza kuwa na uchumi mkubwa lkn bado ukawa na shida nyingi sana . Mfano Ethiopia 🇪🇹 wanauchumi mkuwa sana kuliko hata sisi. But raia wao wanakimbia kule life is hard. Afu sipo hapa kushidana na kenya wewe ndo unanifanya nianze kufananisha TZ na kenya. Ila...
  7. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Wana kiasi gani ? China reserves ya USD. Ninajua sana . Hivi unajua us wakitaka usd kwenda kununua vitu nje wanaprint tuu usd. ???? Unajua hilo???
  8. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Jamani maarifa ni kitu cha msingi sana, India wapo top 7 nchi zenye uchumi mkubwa na GDP kubwa dunia ila maisha ya watu wao ni magumu sana, kuna majaa mmoja alisoma India alisema wale ikifika jioni kuna barabara zingafungwa kwa ajili ya watu kulala. Watu ni maskini sana. But GDP yao ni kubwa...
  9. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    https://youtu.be/Eu8VW0-a4BY?si=1Un2Ico2JMwqkDCI
  10. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    https://youtube.com/shorts/dQOcNUW0QyM?si=su4ULthH2oDlLsTz
  11. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Nijibu ya kwangu hapo juu kwanza, nimekuuliza vingi tuu unakimbilia kuniambia sina fact?
  12. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Umeshidwa kujibu kwa kuwa kama wewe kweli ni mtu wa afya. Vingi wa hivyo vitu tuna kenya au Uganda. Hata kuna kuna kipindi efavirenz tulikuwa tunatoa Uganda. Upo hapo?
  13. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Sishangai , hata USA big economy unaomba mkopo China. Ni kawaida labda kwao huko walipata wagonjwa wengi wakaishiwa kwenye stock. Sasa kufanya order kiwandani mpk wakufanyie production. Inachukua muda.
  14. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Hii tabia nafikili mpk aje kiongozi apige marufuku
  15. M

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Punguza hasira
Back
Top Bottom