Recent content by mr Driver

  1. mr Driver

    INAUZWA Mashine ya kuvuna mpunga KUBOTA DC-60

    hata siko na mashamba hyo nlinunua kwa kazi ya kukodishia watu na malipo kwa kila saa,so from now on op tumepishana.brother kaamua kunikabidhi niweze kuitangazia iuzwe
  2. mr Driver

    INAUZWA Mashine ya kuvuna mpunga KUBOTA DC-60

    hekari 1 = 6 litres pia op alikuwa anapga hekari 13 - 15 per day
  3. mr Driver

    INAUZWA Mashine ya kuvuna mpunga KUBOTA DC-60

    misimu mitatu na haina shida yeyote zaidi ya operator
  4. mr Driver

    INAUZWA Mashine ya kuvuna mpunga KUBOTA DC-60

    #kiongozidesay hiyo mashine inavuna mpunga,Yaan inapofikia kipindi mpunga kuvunwa basi hyo mashine inafanya kazi ya kukata na kutenganisha mpunga utapita katika kinu na mapukupuku yanatokea upande wa pili hivo ww n kuchukua magunia na kuset katika mdomo wa kinu
  5. mr Driver

    INAUZWA Mashine ya kuvuna mpunga KUBOTA DC-60

    22mil only,iko full document
  6. mr Driver

    INAUZWA Mashine ya kuvuna mpunga KUBOTA DC-60

    nauza hiyo kubota
  7. mr Driver

    INAUZWA Mashine ya kuvuna mpunga KUBOTA DC-60

    nina mashine ya kuvuna mpunga aina ya KUBOTA DC-60 mawasiliano zaidi piga - +255 627 518 825
Back
Top Bottom