- Hawa ni wavivu tu wa kusukuma.
- Pia kunakosekana strong bond kati ya mama na mwana . . ule msemo wa "Uchungu wa Mwana Aujuaye Mzazi" unakosa maana.
- Sijui dini zetu zinasema nini. Inawezekana ikawa ni kinyume cha maagizo ya Mungu kuwa "Utazaa kwa Uchungu"?
Hayati Mwalimu J.K. Nyerere alituasa sana juu ya mambo ya dini. Fikiria hili, kama Waislamu wakikiubaliwa madai yao ambayo naamini ni Genuine, then:
1. Waislamu Watakuwa na Mahakama ya Kadhi, next litakuwa swala la nguruwe. Mnakumbuka yaliyotokea huko nyuma
2. Wahindu watataka Wanyama wasiliwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.