Sijaomba mkopo mwaka huu kwasababu bod walitoa kigezo kwa aliyemaliza diploma kuanzia mwaka 2011 kurudi nyuma hana sifa ya kupata mkopo,mimi nilimaliza 2011 diploma,,je nikipata koz ileile ya mwaka jana nikienda bodi kupeleka vielelezo vya kutoweza kuripoti chuo je mkopo wa mwaka jana wanaweza...
Ndugu zangu wana JF naomba ushauri,mwaka wa masomo 2013/14 nilichaguliwa kujiunga UDOM(BED-Policy planning and management) muda wa kuripot ulipofka sikuweza kuripoti kwasababu ya kuumwa,nilipona wakati wa usajiri ulikuwa umekwisha nilipoenda chuo wakasema hata kupostpone haiwezekani niende nacte...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.