kuwa makini dada,c unajua zama ze2,na huyu utakaeamua uzae nae akikisha ni mwema kwako na mtoto utakae mzaa acje mterekeza kwako.nakushauri uwe na mwenza mutakae lea mtoto.makuz ya mtoto ni muhim,uckubar kuwalidhisha wajomba na kuutesa uzazi wako.utaraumiwa wewe na watoto wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.