Recent content by mponezya

  1. M

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    mafie,babu wa loliondo sio wa serikali ila anachokifanya anaishawishi serikali kumuunga mkono kuponesha magonjwa sugu ambayo serikali yetu imeteseka kwa muda mrefu pasipo mafanikio dunia kiujumla, bado unasema kuna udini ndani yake,umeweza kujitokeza udini ndani ya serikali pasipo kujua hatima...
  2. M

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Ubalozi wa Israel nchini Tanzania pia upo jijini Dar es salaam posta mpya mtaa wa ohio,na kutokuwa na ubalozi ktk nchi husika sio kigezo cha serikali kujua au kuitambua sababu kuna vigezo ambavyo viliifanya iwe nchi sio kwa ubalozi ktk nchi nyinginezo.
Back
Top Bottom